mlaizer
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 233
- 41
Ndugu wana JF,
Kutokana na maandano CHADEMA ya wiki iliyopita ktk mikoa ya kanda ya ziwa kuonekana kivutio kwa wananchi wengi,serikali/ccm na baadhi ya wananchi wameamua kuutafsiri baadhi ya hoja za CDM kuwa ni za kiuchochezi.Hali ambayo hata Msajili wa vyama siasa ameamua kuchukua uamuzi wa kuindikia CDM barua ya Onyo.Hiyo imeonekana haitoshi kupita gazeti la UHURU la leo 7/3/2011 kuna habari imeandikwa kuwa WAISLAMU WAONYWA KUHUSU CHADEMA,ktk habari hiyo mwandishi anaieleza umma kuwa Viongozi wa Kiislamu waitahadharisha waumini wao juu ya ushiriki wao ktk maandamano CDM kwa kile kilichotafsiriwa wanaeneza maneno ya uchochezi kutaka kuing'oa serikali madarakani...................Mimi sitaki kuamini kuwa hii habari ni kweli imetoka kwenye vinywa vya VIONGOZI stahiki wa kiislamu bali pengine kuna agenda ya vikundi fulani ndani ya CCM walioamua kuvaa vazi hili kuitega CDM ili pengine iamue kuongelea hadharani,ikitegemea kuzua mjadala usio wa lazima.
LENGO langu ni kuomba wanajamvi mtoe maoni yenu juu hili ya kwamba nini viongozi na wafuasi wa CDM wafanye kuwajua nani anatumiwa na nini kifanyike kuepuka wanaodanganya wafuasi wasijitokeze kwenye maandamano?
Kutokana na maandano CHADEMA ya wiki iliyopita ktk mikoa ya kanda ya ziwa kuonekana kivutio kwa wananchi wengi,serikali/ccm na baadhi ya wananchi wameamua kuutafsiri baadhi ya hoja za CDM kuwa ni za kiuchochezi.Hali ambayo hata Msajili wa vyama siasa ameamua kuchukua uamuzi wa kuindikia CDM barua ya Onyo.Hiyo imeonekana haitoshi kupita gazeti la UHURU la leo 7/3/2011 kuna habari imeandikwa kuwa WAISLAMU WAONYWA KUHUSU CHADEMA,ktk habari hiyo mwandishi anaieleza umma kuwa Viongozi wa Kiislamu waitahadharisha waumini wao juu ya ushiriki wao ktk maandamano CDM kwa kile kilichotafsiriwa wanaeneza maneno ya uchochezi kutaka kuing'oa serikali madarakani...................Mimi sitaki kuamini kuwa hii habari ni kweli imetoka kwenye vinywa vya VIONGOZI stahiki wa kiislamu bali pengine kuna agenda ya vikundi fulani ndani ya CCM walioamua kuvaa vazi hili kuitega CDM ili pengine iamue kuongelea hadharani,ikitegemea kuzua mjadala usio wa lazima.
LENGO langu ni kuomba wanajamvi mtoe maoni yenu juu hili ya kwamba nini viongozi na wafuasi wa CDM wafanye kuwajua nani anatumiwa na nini kifanyike kuepuka wanaodanganya wafuasi wasijitokeze kwenye maandamano?