Sio WA TZ wote ni CHADEMA au CCM!!! hatutaki nhi yetu iingie ktk mahafuko au vita vya wenyewe kwa wenyewe! tunajua hawa vigogo wote vyama vya kisiasa wana makazi yao Ulaya au Amerika! wanataka tuanze kuuwana wenyewe kwa wenyewe halafu wao wakimbilie nchi za nje!!! sijui ni kwa nini wanajenga chuki na uhasama miongoni mwa wqananchi!! na wengine hata aibu hawana juzi tu wameenda kuzuru kaburi la Mwalimu Nyerere na baada ya hapo wanazunguka kona hadi kona kueneza chuki!!!
Sasa tunasema inatosha! hatuwezi kuendelea kutazama baadhi ya Watu wachache wenye uchu wa madaraka wakiendelea kuharibu nchi yetu!!!
Sasa tunasema inatosha! hatuwezi kuendelea kutazama baadhi ya Watu wachache wenye uchu wa madaraka wakiendelea kuharibu nchi yetu!!!