Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
tatizo namanyere wana mbunge mmoja ambaye hata jina lake hajui kuandika anaitwa ali mabodi, huyu muarabu koko alichaguliwa kwa ajili ya vijisenti vyake tu lakini sio akili au uwakilishi. mie namfahamu fika kwa miaka mingi na ninajua hajui kusoma wala kuandika huwa anasomewa na mwanae mmoja anaitwa meddy. kama kuna mtu anabisha aseme