Chadema wafanaya maandamano makubwa Namanyere Nkasi

Uzoefu unaonyesha kuwa amani huwa inakuwepo wakati wa maamnadano, na amani hutoweka na vurugu kuanza pale ambapo policcm wanapoanzisha vurugu...
 
Uzuri hao ni Wakristo, wangekuwa Waislam tungeogopa, waacheni
Ni vizuri ukafikiri kabla ya kuropoka. Udini unakusumbua sana wewe. Ukristo na Uislamu unaingiaje hapo kwenye maandamano ya kudai huduma bora za jamii? Mara nyingine ni vizuri kuficha upumbavu wako kwa kukaa kimya. Kumbuka kwamba "A fool speaks because he has to say something, but a wise man speaks because he has something to say". Tafadhali tuko kwenye jukwaa la siasa sio la dini.
 
Jasiri haogopi risasi, bora hao polisi waweke silaha zao chini, maana wamesha ambiwa kuwa ni maandamano ya amani
Sawa mkuu, lakini kwa mapolisi amani ni pale unapowamwagia sifa hata kama ni za uongo. Vinginevyo Afande Arufonso atatumia msuli uncoordinated with upstairs.
 
Aisee hiyo ya KITU kizito inachekesha sana! na KITU CHENYE NCHA KALI! Du kazi kwelikweli aisee!
 
Niko katika mji wa Namanyere. Umati mkubwa sana wa watu ukiongozwa na CHADEMA wanafanya maandamano kulalamikia hali mbaya ya maji na ahadi za uongo kuhusu umeme.

Hivi sasa wanaelekea kwa mkuu wa wilaya, ni maandamano ya amani.

Ntaendelea kuajuza

Mkuu taarifa yako ina mapungufu kidogo, inawezekana unaitaja CDM ili thread yako ipate wachangiaji wengi, inawezekana kabisa wanao andamana ni wananchi wa kawaida ambao hawana itikadi na chama chochote ila ni kwa sababu ya madai yao kama ulivyo eleza. Ili tuwe na imani na uhakika na Taarifa yako tuwekee picha ambayo itaonyesha kuna alama za kuitaja na kuihusisha CDM na hayo maandamano.
 
Maandamana yameonekana kama hayapati upinzani wa Polisi, lakini kumbe ukweli ni kwamba Polisi wa kule hawana vifaa vya kudhibiti maandamano (ila hawasemi). Hakuna maji ya kuwasha wala vitu vizito, vyote vimeishia mjini
 
Back
Top Bottom