PROF PHILOSOPHY
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 142
- 40
Niko katika mji wa Namanyere. Umati mkubwa sana wa watu ukiongozwa na CHADEMA wanafanya maandamano kulalamikia hali mbaya ya maji na ahadi za uongo kuhusu umeme.
Hivi sasa wanaelekea kwa mkuu wa wilaya, ni maandamano ya amani.
Ntaendelea kuajuza
Hivi sasa wanaelekea kwa mkuu wa wilaya, ni maandamano ya amani.
Ntaendelea kuajuza