nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,513
- 19,998
nimekuwa nikisoma post zako na kugundua huwa hazina mashiko..una uliza maswali ambayo hata mtoto wa darasa la pili hawezi kuuliza..Nilitegemea kusikia jipya,bado maswali yangu hayajapata jibu sahihi kuhusu maelezo kuwa marehemu aliwafuata polisi na nini ilikuwa dhamira yake,ukiondoa askari mmoja je kuna mwananchi mwengine aliyejeruhiwa katika purukushani hiyo?. Inaonekana pande zote zilizohusika(CDM+POLISI) katka tukio hazikuwa na nia njema na sasa hivi nafsi zao zinajuta na kuanza kutupiana mpira.