Ndugu wanachama wa CDM ili tujihakikishie UShindi Wazo langu ni kwamba ni vizuri kama tukipata mawakala wenye mioyo migumu, wasiotishika kirahisi wasiohongeka na elfu kumi naamini tukifanya hivi tutashinda. Yale tuliyoyafanya Igunga kupata mawakala waminifu na baadhi ya maeneo machache tulikosa mawakala waadirifu leo hii Igunga lilikuwa jimbo la CDM.
Pamoja tunasonga.
Pamoja tunasonga.