PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Utafiti huu umeufanyia wapi wakati marekebisho ya daftari kuu la kura yanaendelea?inasikitisha sana kuona mnajenga tamaa ambayo tatizo lake ni kuja kukataa matokeo ,mkifikiria hasara na mnavyodanganyika na kujaa kwa wasio miliki kadi za kupigia kura ,hivi mnaelewa ya kuwa wale wanaohudhuria mikutano hawana sifa za kupiga kura ? Na zaidi ni wapenda shangwe na ngoma.
KATAFUTE HELA ya UBWAWA WA WATOTO BANA, au mambo yote yatakuwa kwa jirani?...lol!