Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Kwa uzoefu wangu mdogo wa mageuzi ya kazikazini mwa Afrika polisi wakifanya kosa kuwaacha wakeshe hapo serikali itajutia, wakeshaji wataanza kuji organize kuleta chakula maji mahema na kadhalika vile vile wataanza kujiamini na kujawa na ujasiri hata waliokuwa wakisita watajiunga nao, wait n see.
kuna kikao kinaendelea huko dar juu ya hali ya arusha ..yawezekana lema akatolea dakika chache zijazo lakini kama hawatakubaliana kwa hilo basi itabidi wajiandae kwa maafa makubwa