Ni wakati huo aisee!Enzi za Mkapa hakuna mtu angefanya huo ujinga, atakaa ndani na atatoka kwa kufuata sheria na taratibu, mahakama sio shangazi wa cdm wala Lema. Sheria na taratibu ziliwekwa ili zifatwe...hatuwezi kuendesha nchi ktk misingi hiyo...
uko sehemu gani mkuu..tutafutane mimi misheagiza makoti ya kutosha...
Hongera mkuu, NMC inaweza kuwa Benghazi ya BongoMi mwenyewe nimechoshwa na maisha na nakaa hapa mpk kieleweke. WanaJF mjue hl ya kwmb nipo hapa sibanduki A to Z!
ni kweli naomba wakeshe hapo
Vyombo gani vya habari?Mkesha wa ukombozi. Nashauri vyombo vya habari virushe live yanayojiri A. Town now ili Watanzania wote waelewe
Nyie hamna kazi za kufanya? INASIKITISHA. Halafu mlalamike hali ya maisha ni ngumu!!!!Wapuuzi sana.
Hongera mkuu, NMC inaweza kuwa Benghazi ya Bongo
Hii 'SINGLE' mpya ya cdm imekaaje? Walikuwa na ajenda nzuri kutetea haki na watanzania walikuwa nyuma yao, lakini hili la Mh. Lema kujipeleka jela kisha watu wagome kuomba atolewe??!!
Unawashwa masaburi kamtafute Nepi aku-Cameron haraka.Enzi za Mkapa hakuna mtu angefanya huo ujinga, atakaa ndani na atatoka kwa kufuata sheria na taratibu, mahakama sio shangazi wa cdm wala Lema. Sheria na taratibu ziliwekwa ili zifatwe...hatuwezi kuendesha nchi ktk misingi hiyo...
Si bure, unauwalakini...Wehu wake hauzidi wa vasco dagama, nasikia huwa akienda uingereza wanam-cameroon.
Mi mwenyewe nimechoshwa na maisha na nakaa hapa mpk kieleweke. WanaJF mjue hl ya kwmb nipo hapa sibanduki A to Z!
Toeni picha tafadhali yanayojiri Arusha. Shy Town kesho tupo barabari kuwaunga mkono wana Arusha hakuna kulala mpaka kieleweke