Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
god bless chadema
Niko katika viwanja vya NHC arusha mvua inanyesha mno. Lissu anatoa ufafanuz wa kisheria ili Dr. Slaa atoe msimamo wa chama ambao ni kuhakikisha Lema lazima atolewe. Naona kuna Libya inanukia. Aluta kontinua cdm
kama wewe ni mamantilie aje alete masufulia aje apike hapa nmc..
Kazi imeanza Arusha,mkesha wa ukombozi nimeshenyeshewa mpaka basi,
Fafanua mkubwa!
KESHOKUTWA!
Hawa bazazi watajutia maamuzi yao mabaya!
Wehu wake hauzidi wa vasco dagama, nasikia huwa akienda uingereza wanam-cameroon.Huyo Dk wenu keshawehuka