Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,887
- 1,193
Mkuu, siafikiani na wewe kwamba watanganyika wanaufagilia huu muundo wa muungano. Bali usahihi ni kwamba ni viongozi wa ccm ndiyo wanaoufagilia.Lakini mbona inaonekana Watanganyika wanafagilia muundo Huu wa muungano!.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2