Mpevu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,806
- 173
HESHIMA KWENU WADAU WOTE,
TABORA;
SI VIBAYA UKIITA... 'TAA BORA'
Ni mkoa ulio nyuma kimaendeleo,
Watu wake wamejikatia tamaa kuutegemea utawala,
Mkoa umemezwa na CCM,
Ni mkoa uliobeba utaifa na harakati zote za Tanganyika,
Ni mkoa uliojaaliwa ardhi nzuri yenye rutuba na misitu mizito ya asili,
Ni mkoa uliotoa wasomi wengi kulitumikia taifa hili,
Ni mkoa uliotelekezwa na watawala kwa miongo yote hiyo,
Ni mkoa unaotegema mabwawa ya Igombe na Kazima kutupatia maji,
Zao la tumbaku ni kitovu kikuu cha uchumi na fedha za kigeni kwa taifa hili,
Ni mkoa usio na mawasiliano ya kiuhakika ya barabara,
Ni mkoa ikiwa jitihada zikifanyika za mageuzi ya kisiasa...VYAMA VITAJIVUNIA,
Ni mkoa ambao watu wake bado wana elements za chama kimoja kitukufu CCM,
Ni mkoa ambao mwenyekiti wa CUF amezaliwa lakini hakubaliki,
Ni mkoa unaoweza kutekwa na CHADEMA iwapo wataliona na kulihitaji hilo.
Tunakihitaji CHADEMA, tunahitaji mabadiliko,
Enyi wakuu wa CHADEMA, mmesahau asili ya aliposomea baba wa taifa? Basi na muurejee mkoa huo, iwapo juzi mmetoka Butiama basi fikeni pale na mkutano ufanyike CHIPUKIZI SQUARE.
NAAM...huu ndio mkoa wa Tabora, mkoa wenye kitovu cha HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA. Wapi kama Tabora?
Nawasilisha,
TABORA;
SI VIBAYA UKIITA... 'TAA BORA'
Ni mkoa ulio nyuma kimaendeleo,
Watu wake wamejikatia tamaa kuutegemea utawala,
Mkoa umemezwa na CCM,
Ni mkoa uliobeba utaifa na harakati zote za Tanganyika,
Ni mkoa uliojaaliwa ardhi nzuri yenye rutuba na misitu mizito ya asili,
Ni mkoa uliotoa wasomi wengi kulitumikia taifa hili,
Ni mkoa uliotelekezwa na watawala kwa miongo yote hiyo,
Ni mkoa unaotegema mabwawa ya Igombe na Kazima kutupatia maji,
Zao la tumbaku ni kitovu kikuu cha uchumi na fedha za kigeni kwa taifa hili,
Ni mkoa usio na mawasiliano ya kiuhakika ya barabara,
Ni mkoa ikiwa jitihada zikifanyika za mageuzi ya kisiasa...VYAMA VITAJIVUNIA,
Ni mkoa ambao watu wake bado wana elements za chama kimoja kitukufu CCM,
Ni mkoa ambao mwenyekiti wa CUF amezaliwa lakini hakubaliki,
Ni mkoa unaoweza kutekwa na CHADEMA iwapo wataliona na kulihitaji hilo.
Tunakihitaji CHADEMA, tunahitaji mabadiliko,
Enyi wakuu wa CHADEMA, mmesahau asili ya aliposomea baba wa taifa? Basi na muurejee mkoa huo, iwapo juzi mmetoka Butiama basi fikeni pale na mkutano ufanyike CHIPUKIZI SQUARE.
NAAM...huu ndio mkoa wa Tabora, mkoa wenye kitovu cha HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA. Wapi kama Tabora?
Nawasilisha,