Chadema umeshinda igunga

Malova

JF-Expert Member
Apr 21, 2011
784
228
Kama mwakajana chadema haikusimamisha mgombea, ina maana ilipata kura sifuri kule Igunga. Kwa maneno mengine CCM wailiikubali zaidi ndio maana ikapata takribani kura 34 elfu. Kipindi hiki cha mwaka 1, chadema imepata hizo zaidi ya 22 elfu na ccm wamepata zaidi ya 24 elfu. Maana yake ccm imeanguka kwa kura zaidi ya 9 elfu wakati chadema wamepanda kwa kura zaidi ya 22 elfu wakitoka 0 za mwaka jana. Hivi chadema wanakubalika zaidi na ingekuwa katiba za nchi za wenzetu ndio chadema ambao wangechukua jimbo kwa mlinganyo wa kura.
 
Kama mwakajana chadema haikusimamisha mgombea, ina maana ilipata kura sifuri kule Igunga. Kwa maneno mengine CCM wailiikubali zaidi ndio maana ikapata takribani kura 34 elfu. Kipindi hiki cha mwaka 1, chadema imepata hizo zaidi ya 22 elfu na ccm wamepata zaidi ya 24 elfu. Maana yake ccm imeanguka kwa kura zaidi ya 9 elfu wakati chadema wamepanda kwa kura zaidi ya 22 elfu wakitoka 0 za mwaka jana. Hivi chadema wanakubalika zaidi na ingekuwa katiba za nchi za wenzetu ndio chadema ambao wangechukua jimbo kwa mlinganyo wa kura.

Nitafutia nyumba ya kununua huko kwenu Kimara Bonyokwa!
 
Kama mwakajana chadema haikusimamisha mgombea, ina maana ilipata kura sifuri kule Igunga. Kwa maneno mengine CCM wailiikubali zaidi ndio maana ikapata takribani kura 34 elfu. Kipindi hiki cha mwaka 1, chadema imepata hizo zaidi ya 22 elfu na ccm wamepata zaidi ya 24 elfu. Maana yake ccm imeanguka kwa kura zaidi ya 9 elfu wakati chadema wamepanda kwa kura zaidi ya 22 elfu wakitoka 0 za mwaka jana. Hivi chadema wanakubalika zaidi na ingekuwa katiba za nchi za wenzetu ndio chadema ambao wangechukua jimbo kwa mlinganyo wa kura.



Nadhani ungesikiliza kauli ya Jaji Joseph Sinde Warioba jana usinge post huu upupu leo hapa.Fanya kazi ama leta habari nyingine ya msingi "the Igunga Chapter is Closed".
 
Back
Top Bottom