Kama mwakajana chadema haikusimamisha mgombea, ina maana ilipata kura sifuri kule Igunga. Kwa maneno mengine CCM wailiikubali zaidi ndio maana ikapata takribani kura 34 elfu. Kipindi hiki cha mwaka 1, chadema imepata hizo zaidi ya 22 elfu na ccm wamepata zaidi ya 24 elfu. Maana yake ccm imeanguka kwa kura zaidi ya 9 elfu wakati chadema wamepanda kwa kura zaidi ya 22 elfu wakitoka 0 za mwaka jana. Hivi chadema wanakubalika zaidi na ingekuwa katiba za nchi za wenzetu ndio chadema ambao wangechukua jimbo kwa mlinganyo wa kura.