hata 2010 maudhurio yalikua ivo ndio maana slaa raisi kama tunda man
Kama ulikuwa mbele ya runinga na hukuelewa basi tukuombee tu. Hoja ya muda umechemsha. Mrema alisema atampunguzia dk 5 wala si kumpa dk5! Kadhalika kwa mazingira yale ni ngumu kama utakavyo. Hoja ya wahudhuriaji ni dhaifu sana. Nilikuwa frontline kabisa. Watu wanakwenda pale kwa mapenzi na si nyie mnaosuburia kwenye runinga. Umeme ungekatika ungepata muda wa kusema hayo? Suala la kufungua matawi mkiti alitoa maelezo na namba za simu kwa ajili ya maelekezo zaidi. Akazirudia tena na tena. We Profesa wa wapi?
Si kila kitu ni cha kukosolewa kiholela tu maana yote uliyokosoa, mkuu majibu yake yalikuwa ndani yako kama ungeamua kuwa makini.
kaoge,ukale,ukakojoe,ukalale
Umati uliojitokeza jana pale jangwani ulichangiwa na matangazo kupitia vyombo vya habari hilo halina ubishi na sidhani kama ule umati ulikuja kusikiliza sera mbadala