i pad3
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,518
- 377
Sawa kaka samahani tumekukose lakini huu ndio uwezo wetu sisi watoto wa wakulima. Tunaomba nyie wenzetu mliojaliwa kuzaliwa huko masaki basi mtusaidie kuchangia mabilioni pliiiz
Nyie watoto wa mafisadi nyie na msijifanye ni watoto wa mkulima , na mnapenda sana sifa nyie. Yani mpo ughaibuni mnatoa dola mia nane halafu eti mnajisfia mitandaoni eti tumetoa. Thubutu. Rudini nyumbani. Hio milioni moja sio kitu kwa sasa hivi kwa hapaTanzania kwa hiyo bora usimsaidie mtu kabisa ama ukisaidia ukae kimya Mungu akulipe ila kama mnataka misifa ya kijinga basi toeni nyingi na sio vichekesho kama hivi