Chadema twendeni majimboni tukahamasishe maendeleo huku serikali inahamasisha umasikini

Topic: Chadema twendeni majimboni tukahasishe maendeleo huku serikali inahamasisha umasikini


  • Total voters
    5
  • Poll closed .

mzee wa miba

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
759
125
Ukweli uliobayana ni kwamba baada ya uchaguzi mkuu 2010 serikali yote ya CCM bado wanasherehekea ushindi kwani mpaka dakika hii hiyo nguvu mpya,kasi mpya na ari mpya ilikuwa ni misemo na tamathali za semi kwa ajili ya kuwarubuni wananchi ili wakipe kura chama hiki. Siyo ubishi baada ya miaka 50 hamsini ya uhuru TANU na CCM walithubutu,wakajaribu na tena wameshindwa vibaya sana na haijawahi kutokea chama kitawale miaka 50 na bado serikali inaendelea kukopa ili ihudumie wananchi wake.
CDM TUAMUKE TWENDENI VIJIJINI VIJANA KWA WAZEE NA WABUNGE WA CHADEMA WOTE,NA MAKADA WOTE WALE TULIOFANIKIWA KUSOMA AGRICULTURE/ELIMU YA KUJITEGEMEA MASHULENI NA VYUONI TUFUNGUENI MASHAMBA YA MFANO KWA KUWEKA SAMADI,NA KUOTESHA KWA MISITARI. MVUA ZINAZONYESHA NI BARAKA HII NA SI MAAFA TUZITUMIENI,TUHAMASISHANENI WENYEWE KWA WENYEWE CHAMA NA SERIKALI NA WABUNGE WAO WANATAKA POSHO ZAIDI SISI TWENDENI VIJIJINI HAKUNA MUDA WA KUPOTEZA TUSHIKAMANE TUSISINZIE KAMA WAO.
CCM WAMESHINDWA VIBAYA KABLA YA 2015
 
Mbona hiyo poll yako haieleweki? Nikitiki kibox cha kwanza kwa mfano au hata cha pili na cha tatu utawezaje kufanya conclusion ya swali lako?
 
sahihi kabisa wafanye hivo sasa! hata mwenyekiti wa bavicha naona kimya nilidhani mara moja angeanza na kasi hii majimboni huko tunduru,masasi,newala nk
 
Iweke Vizuri hii poll yako, ukiuliza nani zaidi kati ccm na cdm nikaweka tiki je utajuaje yupi ni zaidi?
 
Back
Top Bottom