EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
- Thread starter
- #41
CDM bana wana Website wanasema wana TV hata unashindwa kuelewa, cha ajabu Pro-CDM wote wanakubaliana eti wana TV wakati hawana
Hapo kwenye red inategemea kama una define vipi TV. Maana kwa technologia ya sasa unaweza kuwa na Internet TV or online TV. Teknologia ya sasa inaruhusu kuangalia TV mahali popote pale.