MFUKUZI
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 933
- 699
Jamani wadau kwa utafiti nilioufanya, tangu CHADEMA wafanye maandamo ya nguvu huku kanda ya ziwa na kulalamikiwa na viongozi wa serikali na baadhi ya wanasiasa uchwaraa, sijaona hata kituo kimoja cha TV hapa nchi kuwafanyia mahojiano maalum viongozi wa CHADEMA kufafanua juu ya tuhuma hizo. Ninachoona ni vipindi kibao na mahojioni mengi kwa mawaziri na wapambe wao wanapewa airtime ya kutosha kuponda haki ya wananchi kuandamana.
WITO!!! Nawaomba CHADEMA wafanye haraka kuanzisha TV station yao, au WanaJF na wadau wengine wanaopenda mabadiliko makubwa ya kisiasa ya nchi yetu waanzishe TV stations zisizokuwa na uoga wala upendeleo kwa kunarusha habari na makongamano ya wasomi na makundi mbalimbali ya wanaharakati yanayodai uhuru na haki za wananchi na kupata mustakabali wa nchi yetu
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKA, TIMIZA WAJIBU WAKO.
NAOMBA KUWASILISHA!!
WITO!!! Nawaomba CHADEMA wafanye haraka kuanzisha TV station yao, au WanaJF na wadau wengine wanaopenda mabadiliko makubwa ya kisiasa ya nchi yetu waanzishe TV stations zisizokuwa na uoga wala upendeleo kwa kunarusha habari na makongamano ya wasomi na makundi mbalimbali ya wanaharakati yanayodai uhuru na haki za wananchi na kupata mustakabali wa nchi yetu
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKA, TIMIZA WAJIBU WAKO.
NAOMBA KUWASILISHA!!