kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,065
- 1,535
kv
habari nilozipata hivi punde kutoka chanzo cha uhakika ni kuwa jumamosi hii 22.1.2011 wabunge wa ccm wanakutana karimjee dar es salaam kuandaa mkakati wa kupambana na chama kubwa chadema bungeni. chanzo hiki kinafafanua kuwa aenda kubwa ni kujenga hoja itayogeuzwa sheria na kuizuia chadema kufurahia uongozi wa upinzani bungeni.
haya sasa vichwa vya ujasusi na sheria tuanze kazi
habari nilozipata hivi punde kutoka chanzo cha uhakika ni kuwa jumamosi hii 22.1.2011 wabunge wa ccm wanakutana karimjee dar es salaam kuandaa mkakati wa kupambana na chama kubwa chadema bungeni. chanzo hiki kinafafanua kuwa aenda kubwa ni kujenga hoja itayogeuzwa sheria na kuizuia chadema kufurahia uongozi wa upinzani bungeni.
haya sasa vichwa vya ujasusi na sheria tuanze kazi