Mazee
Senior Member
- Dec 6, 2007
- 128
- 24
tunataka kusikia viongozi wetu wanasema nini na wananchi wenzetu huku wanakopita kuwaelimisha basi andaeni documentaries halafu mtuuzie sisi tuatanunua kwa mfano hii ya arusha hadi leo hatujaipata
haya matukio ya kanda ya ziwa tunataka kuyaona pia.....
Naamini kiasi kidogo cha pesa kitapatikana lakini kitasaidia for sure
viva mshikamamo....
haya matukio ya kanda ya ziwa tunataka kuyaona pia.....
Naamini kiasi kidogo cha pesa kitapatikana lakini kitasaidia for sure
viva mshikamamo....