kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Wakiichukuwa hii mada ya mifuko ya hifadhi ya jamii iwe ni sera ya kupatia kura ili hali mpaka sasa hivi wapo kimyaaa. Sijui hawa wabunge na viongozi wao wamelewa posho na kuongwa. Au mwenyekiti wao ana Deni NSSF, kafungwa zipu ya mdomo.
Tutawaelewa vipi?
Tutawaelewa vipi?