Indume
Member
- Apr 11, 2011
- 81
- 36
Hongera CHADEMA kwa ushindi mnono wa Arumeru, Mwanza,Mbeya na sehemu zingine.
Sasa ni kipindi muhimu kwa CDM kufanya utafiti ili kujua mbinu zilizotumikazimefanikiwaje na wapi pa kuleta mabadiriko na kuendelea kutekeleza mbinuzilizo nzuri. Utafiti huu ni vema ukafanyika katika maeneo yote hata ambayoCHADEMA haikushinda na pale CHADEMA iliposhinda. Hii itasaidia kujua ni kitugani cha kufanya baadae.
Ripoti ya utafiti baada ya uchaguzi wowote ambao CDM imeshiriki ni vema piaikawasilishwa katika ngazi zote za chama Tanzania bara na Tanzania visiwani iliiwe ni sehemu ya wanachama na viongozi wa CHADEMA kuendeleza mikakati hiyo yaushindi na kuyafanyia marekebisho mikakati ambayo haikufanikiwa sana. Lengohasa likiwa ni kuwaandaa wananchama wote kuitoa CCM mwaka 2015.
Mungu ibariki CHADEMA.
Sasa ni kipindi muhimu kwa CDM kufanya utafiti ili kujua mbinu zilizotumikazimefanikiwaje na wapi pa kuleta mabadiriko na kuendelea kutekeleza mbinuzilizo nzuri. Utafiti huu ni vema ukafanyika katika maeneo yote hata ambayoCHADEMA haikushinda na pale CHADEMA iliposhinda. Hii itasaidia kujua ni kitugani cha kufanya baadae.
Ripoti ya utafiti baada ya uchaguzi wowote ambao CDM imeshiriki ni vema piaikawasilishwa katika ngazi zote za chama Tanzania bara na Tanzania visiwani iliiwe ni sehemu ya wanachama na viongozi wa CHADEMA kuendeleza mikakati hiyo yaushindi na kuyafanyia marekebisho mikakati ambayo haikufanikiwa sana. Lengohasa likiwa ni kuwaandaa wananchama wote kuitoa CCM mwaka 2015.
Mungu ibariki CHADEMA.