Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Acheni ujinga wenu mbona chadema wana kofia na skafu zote huwa mna wauzia mashabiki wa chadema,mkikosa cha kufanya mna anza umbea umbea hapa jf! kwani hao wazee wamelazimishwa kupewa hizo skafu? tatizo lenu chadema kila mnacho fanya mna ona sahihi na nyie yale maskafu yenu ya kazi gani?