Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,666
- 4,999
Kama W.J Malecela ndiyo "Mzee Es", kitu ambacho naamini na ni wazi kabisa, basi hafai kabisa mkuu! Piga! Ua! Garagaza!
Hapa ndipo utaona zile kelele za CCM kumuweka Makinda uspika kwa minajili ya kutaka usawa wa jinsia zilikuwa geresha tu, nia ilikuwa kumuondoa Sitta.
Watu 9 hamna mwanamke hata mmoja!
Septuu Nassor wa Zanzibar ni mtoto wa Samia Suluhu huyu Waziri
CCM ni watoto na familia za waliopo madarakani mwanzo mwisho
Pongezi kwa Kazi nzuri ya Arumeru, Kirumba, Lizaboni na Kiwira. William Malecela anajitaji kura za CDM awaze kuwa Mbunge wa EA. William ni mwanaCCM Aliye huko kimakosa anaweza simamia taifa kulikouCCM, ni msikivu na pamoja na mapungufu yote alonayo Mimi naona ni bora kuliko hao Tisa wengine nidhamu ya CCM. Sintoshangaa William siku moja akija CDM Chama makini aungane na wengine kuleta mabadiliko ya kweli. Ninaamini hata hoja za CDM baharia atazisimamia
Best wishes Malecela JNR
Rt Rev Masa