Elections 2010 CHADEMA Tumieni busara WaTz wanawapima kwa miaka 5 hii

Maneno yako sawia. Unajua Chadema hawajijui kuwa wao ni wachanga saaaana kisiasa. sasa wanataka wanze kwa moto Mkali.

hawajui kuwa wanataka kudandia treni kwa mbele. Ngoja tuone mwisho wao..
inakuuusu nini wakati hukuchagua chadema! makamba alisema wanaopinga kulipa dowans wahame chama na nyinyi hatuwataki cdm!
 
sema wewe unaridhika ila sio wapigakura wengine usizisemee nafsi za watu,watu wamewapigia kura wabunge wa chadema waende wakawatee nakuwaletea maendeleo sio kugomagoma nakutoka kilasiku bungeni,tatizo wanaburuzwa nahuyo j**a mbowe toka lini mtu aliefeli form 4 akawa kinara wa kisiasa kama sio uzumbukuku?
kumbe inakuuuma na wewe makamba jeee!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom