- Thread starter
- #21
Molemo
Lini tunafanya sherehe za ushindi?
Chama
Gongo la mboto DSM....
Mkuu utafanyika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa kusgerehekea kumnyanganya adui kata 3 na kuendelea kushikilia tulizokuwa nazo.
Molemo
Lini tunafanya sherehe za ushindi?
Chama
Gongo la mboto DSM....
Heche tuambie wapenzi wa CDM , Peza zote zilizotumika kwenye M4C na kwenye kampeni ndo matokeo ambayo tulikuwa tukiyatarajia kweli? au ndo unataka kutufunika tusione kama mnatumia fedha za walipakodi kwa manufaa ya wachache na siyo kwa manufaa ya chama?
Mkuu utafanyika mkutano mkubwa kuwahi kushuhudiwa kusgerehekea kumnyanganya adui kata 3 na kuendelea kushikilia tulizokuwa nazo.
Tatizo Daftari la wapiga kura,
kabla ya uchaguzi ccm alikuwa akitetea kata 27 Chadema 2, baada ya uchaguzi ccm kata 22 na Chadema kata 5, anagalia na uelewe nani anashuka na nani anapanda ingawa ni kwa mwendo wa taratibu lakini unaweza kuona mwelekeo.
pia hata kule amabapo ccm ameshinda angalia idadi ya kura wamepishana kwa uwiano upi, trust me mabadiliko yanakuja though ni kwa taratibu kutokana na uelewa finyu wa walio wengi.
Nilishasema hili na nalirudia tena;bila kuweka base vijijin cdm tutakesha na hawa magamba, watu wanahitaj mwamko kaskazin tumefanikiwa ila bado kuna maeneo ya nchi bado sana, kuna maeneo mtu unakwenda watu wanakushangaa kama umetoka sayari ya mars, kazi bado sana, kijua ndo hiki tusipouanika sasa tutautwanga mbichi!
Molemo
Lini tunafanya sherehe za ushindi?
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu, kwani hii kasi ya mabadiliko wewe umeipima kwa kutumia nini?Molemo,ndiyo tumeshinda,lakini ushindi ni mdogo sana kulingana na kasi ya mabadiliko,tatizo liko wapi??
Mkuu operation zimefanyika na wote ni mashahidi,sasa sijui ulitaka wapiga kura wapelekewe hizo fedha kama rushwa?Heche tuambie wapenzi wa CDM , Peza zote zilizotumika kwenye M4C na kwenye kampeni ndo matokeo ambayo tulikuwa tukiyatarajia kweli? au ndo unataka kutufunika tusione kama mnatumia fedha za walipakodi kwa manufaa ya wachache na siyo kwa manufaa ya chama?
Chadema kweli wanashangilia ushindi kwa kupata kata 5 kata 2 kutoka Kaskazini kwenye kambi ya Chadema. kata ya Nanjara Reheha, Rombo, na kata ya Daraja Mbili Arusha...
Chadema ngome yao ni Kaskazini, CUF, ngome ya Pemba.. Wakishinda huko huwezi kusema ni ushindi..
Chadema wametumia nguvu nyingi kuzunguka Tanzania nzima kwa miaka mitatu na operesheni za kila aina na saizi wana M4C na hatimaye wamepata kata 3 kwao ni ushindi mkubwa. Wakati kila siku wanatuaminisha humu JF kuwa CCM haipo tena sasa hizo kata 22 wamezipataje.
Chadema hongereni kwa ushindi wa kishindo Chadema ni nguvu ya umma.
Nataka kukubaliana na hoja yako ya kuweka base vijijini lakini nataka na wewe uniambie unaposema vijijini unakusudia maeneo gani? Kigoma kaskazini, Mpanda vijijini, Biharamulo magharibi, mbozi magharibi, Bukombe, Maswa mashariki, maswa magharibi na Meatu ni mijini kwa tafsiri yako?
Kuna vitu vya msingi sana ambavyo watu hawataki kuviangalia isipokuwa wanaangalia matokeo tu ya harakaharaka. Tuachane na siasa za kwenye keyboards twende kwenye fields, sisi wengine tulishaamua kufanya siasa kwenye field kwahiyo tunafahamu uzito wa kazi tuliyonayo. Watanzania hawa ambao wamekulia chini ya mfumo wa kifisadi wa ccm sio jambo rahis kuwabadilisha "overnight" hii ni process ambayo inahitaji muda na rasilimali za kutosha kufikia malengo.
Hata mimi sijaridhika na idadi ya viti vya udiwani tulivyopata lakini nikiangalia katika "angle" nyingine naona wingi wa kura za wagombea wetu walizopata pamoja na kugubikwa na mazingira ya rushwa, vitisho, majeruhi na hila yaliyotapakaa katika chaguzi hizi.
Kama kweli wote tunasononeshwa na hali ya maisha ya mtanzania na tunataka kupata mabadiliko na tunaamini kwamba Chadema ndiyo inaweza kutukwamua hapa tulipo basi tuachane na siasa za mitandaoni twende tukafanye kazi, tujitokeze twende tukagombee nafasi mbalimbali za chama na zaidi tujitokeze kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika chaguzi za kitaifa.