Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,434
- 113,444
Mkuu Mchambuzi, kwa kinaendelea Chadama sasa, nimekukumbuka!, haswa hapo kwenye bold!.Hili ni tatizo, hasa pale chama kinapokuwa hakina mvuto unaotokana na itikadi bali masuala ya mpito (mfano ufisadi) au mvuto wa wapiga kura unaotokana na personalities za viongozi kadhaa.
Yapo masuala ambayo chadema huwa na msimamo kama chama, lakini huwa inatokea mara nyingine individual leaders wanasimamia mambo ambayo mara nyingine yanapishana na mtazamo wa chama, au wa viongozi wengine.
Pasco.