Naamini CHADEMA ambacho ndicho chama tegemeo kwa wengi mnaona hali hii la mgomo wa madaktari!mbona mnakuwa kimya?maslahi mnayotetea ni yapi?dr slaa,zito kabwe,tundu lisu,peter mnyika na wengineo mko wapi!tunaomba kauli ya chama chetu!kukaa kimya ni kututelekeza.naamini kwamba huwa mnaperuzi humu.tupeni tumaini!