Watanzania wengi wanaishi J,burg na Pretoria ni vibaka wa simu na laptop pamoja na kuuza unga kuweni makini sana napafahamu vizuri South Africa.
We ni mpuuzi na unatoa Aibu na comment zako za kijinga, hata NY pana wezi Kama hao, tena uwatake radhi watanzania wenzako kwa kukosa adabu.
Kama kweli ni vibaka wewe hauoni wanajali sans mabadiliko kutaka kuchangia? Jaribu kuwa Mtu mzima hata Kama umri wako ni Kama Wa lulu makofongo wewe!
"Ushabiki Mandazi: Source MTM.
Angalizo Chadema msije mkachangiwa pesa za unga sio kila michango mnaitamani mtajikuta mnaingia kwenye mikono ya FBI money laundering drug.
Angalizo Chadema msije mkachangiwa pesa za unga sio kila michango mnaitamani mtajikuta mnaingia kwenye mikono ya FBI money laundering drug.
Sehemu ya shehena ya madawa yaliyokamatwa |
(Kwa msaada wa Michuziblogspot.com)
Sehemu ya shehena ya madawa yaliyokamatwa
Jumla ya kilo 209 za dawa za kulevya aina ya Heroine zinazokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 9, zimekamatwa katika Kijiji cha Mchinga mkoani Lindi na watu … wanashikiliwa na jeshi la polisi kuhusiana na dawa hizo haramu.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kaimu Kamanda wa Polis wa Mkoa wa Lindi, George Mwakajinga, aliwataja waliokamatwa kuwa ni Morine Amatus Liyumba (21),
Pendo Mohamed Cheusi (67) ambaye ni mkazi na mkulima katika kijiji hicho, Hemed Said (27), dereva na mkazi wa Mtoni, jijini, Dar es Salaam, Ismail Adam (Athuman Mohamed Nyaubi ,28,) ambaye ni mfanyabiashara wa magari jijini Dar es Salaam.
Inaelezwa kuwa kiwango walichokamatwa nacho, ni kikubwa na hakijawahi kutokea katika historia tangu kuanzishwa kwa kitengo cha kupambana na kuzuia dawa za kulevya nchini mwaka 1990. Shehena hiyo iliyokuwa imefichwa kitaalamu ndani yamadumu makubwa, inadaiwa kuwa ilikuwa ikisafirishwa kuelekea nchini Afrika Kusini. Watuhumiwa walisafirishwa hadi jijini Dar es Salaam na wanatarajiwa kufikishwa mahakamani siku chache zijazo kujibu tuhuma zinazowakabili.
Pia Joburg na capetown Watanzania wengi waliopo ni wauza mboga mboga na matunda. Ukienda mitaa ya rissik, long street, harrison na waterfront utawasikia wanavyokigonga kishwahili. Wabongo wanadharauliwa sana kule, bora hata wazimbabwe ambao ni madereva tax. Labda director1 atuambie hizo rand chache anazozipata kwenye kuuza mboga mboga zitakisaidiaje chadema.
Angalizo Chadema msije mkachangiwa pesa za unga sio kila michango mnaitamani mtajikuta mnaingia kwenye mikono ya FBI money laundering drug.
Angalizo Chadema msije mkachangiwa pesa za unga sio kila michango mnaitamani mtajikuta mnaingia kwenye mikono ya FBI money laundering drug.[/QUOTE
Nikikumbuka juzi tu wkt unatoka Chuo ulikuwaje na leo ukoje Kwa Jasho letu ukisaidiwa na Babako kuwa magogoni inanitoa machozi
Lkn naamini c mm tu watanzania wote wanalia Mungu atatupa nguvu tutachangiana hizi ndogo za unga, mnazo nyie au umesahau huwa mnapewa suti kisha mnalipa mali zetu kama zawadi? Shame on u n ur d.a.d.y MR dagama
Mkuu ujumbe nadhani utawafikia maana Zitto, Mnyika, Michael Aweda, Nanyaro na wengineo ng member humu.
Otherwise hata mimi nadhani bado cdm hawajaweka nguvu ya kutosha kwenye kuwashirikisha wananchi kuwachangia. Nilifurahi walipozindua M4C lakini iliishia pale na hakuna kilichoendelea! Nadhani wanahitaji kuongeza mbinu na nguvu!
Mkuu ujumbe nadhani utawafikia maana Zitto, Mnyika, Michael Aweda, Nanyaro na wengineo ng member humu.
Otherwise hata mimi nadhani bado cdm hawajaweka nguvu ya kutosha kwenye kuwashirikisha wananchi kuwachangia. Nilifurahi walipozindua M4C lakini iliishia pale na hakuna kilichoendelea! Nadhani wanahitaji kuongeza mbinu na nguvu!