bennymas
Member
- Apr 10, 2013
- 68
- 30
kamanda Mwekyembe Mbunge mtarajiwa kwa kupitia UKAWA akizungumza na wananchi wa kata ya Mtoni juu ya mambo matatu muhim mmoja kujitokeza kwa wingi wakati wa kujiandikisha daftari la kudumu la mpiga kura na mambo mengine yanayo husu temeke.
kamanda mwakyembe anasema mvua inyeshe iwake mwaka huu mtevu na madiwani wake awatapona ni lazima waondoke kwani wametusababishia umaskini mkubwa temeke wao wanakura bata kawe sisi tunakula vichwa vya kuku na utumbu hili alikubaliki tumepata jembe la kwenda kutusemea bungeni
kamanda mwakyembe anasema mvua inyeshe iwake mwaka huu mtevu na madiwani wake awatapona ni lazima waondoke kwani wametusababishia umaskini mkubwa temeke wao wanakura bata kawe sisi tunakula vichwa vya kuku na utumbu hili alikubaliki tumepata jembe la kwenda kutusemea bungeni