- Thread starter
- #41
Kwa wanaoishi tmk huu ni msiba mkubwa, hali kule ni mbaya sana kiuchumi na miundo mbinu, hali hii si ya kushabikia.
umeshawahi kuona angalau kwenye TV watu wa TMK wakipanga foleni za maji kama ilivyo KImara? Miundombinu ipi unayozungumzia wewe? Kama ni barabrara; ya kutoka wapi kwenda wapi? Unazungumzia umeme? Ni sehemu gani DSM hii kusikokuwa na mgao wa umeme? Au unazungumzia simu? unaamaanisha nini unaposema miundombinu?