AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Habari wan JF! Nimependa kuchukua fursa hii kukishauri chama chetu makini CDM ambacho ni tegemeo letu na tumaini letu jipya kwa sisi wanyonge, Mchango wa CDM ktk kuisimamia serikali ni mkubwa sana hata kwa kututetea sisi wanyonge chini ya serikali hii kiziwi. Tumeshuhudia juhudi kubwa zikifanywa na viongozi wa CDM kama, kamanda lema, Mnyika, Heche, Rais wetu slaa etc ktkt kutetea haki zetu tunaonyonywa na magamba( CCM), lakini hofu yangu ni juu ya hii serikali kivuli ya CDM ambayo ni serikali yetu mbadala haichukui its responsibility by 100% bkoz tumeshuhudia matukio mengi yakiikumba nchi mfano kuongezeka kwa idadi ya kufeli kwa wanafunzi wa kidato cha 4, mgomo wa madaktari, vitendo viovu vya polisi kwa wananchi, etc' so ni vyema viongozi wa chama wakaliona swala hili ili chama chetu makini kiweze kujiongezea priority ya ushindi 2015, Naomba kuwasilisha.