Chama cha demokrasia na maendeleo siku ya jumapili ya tarehe 21 kitakuwa na mkutano wa ndani na wanachama wake ambao utafanyika katika chumba kimojawapo cha kufanyia semina karibu na mabweni ya wanafunzi wa kiume wa TTC ambapo mambo mbalimbali yatazungumzwa,likiwepo na tukio kubwa la kupokea wanachama wapya waliojiunga na chuo mwaka huu,ambapo viongozi wote wa chama tawi la saut watakuwepo kama kamanda ELIFURAHA JOHN ambaye ndiye mwenyekiti wa chama,ndugu MWAKIPESILE katibu mwenezi,kamanda LUGANO EDSON WA VIJANA NA KATIBU WA BAVICHA ndugu NAFIWE MIHO na viongozi wengine na kwa wale makamanda wote mliopo hapa TABORA hata kama si wanafunzi mnakaribishwa sanaaaaaaaaaa,,,,mkutano huo utaanza saa 9 alasiri