Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,871
CHADEMA SOMBETINI wameshirikiana na kanisa la TAG mtaa wa ngusero pamoja na wananchi wa Sombetini wamemzika mzee EDWARD MGOGO maarufu kama "bab bab bab aliyefariki kwa kudondoka ktk mtaro alfajiri ya Alhamisi na kutolewa mtaroni na wasamaria na diwani wa sombetini ALLY BANANGA.
Mzee huyo hakuwa na ndugu wala mtoto kwa muda wote alioishi Arusha.
Mzee huyo hakuwa na ndugu wala mtoto kwa muda wote alioishi Arusha.