Chadema sio mtetezi wa Tanzania

GHIBUU

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
4,432
3,006
Unaposema tanzania it means unaijumuisha na zanzibar ambayo sasa hivi wengi ya watanganyika ndio wamegundua kuwa ni nchi yenye mipaka yake.

Sasa hivi kuna mjadala wa katiba,katika mijadala inayokwenda Tanzania hapa zanzibar wao wanajadili muungano,kwa sababu katiba ya muungano imeingizwa ndani ya katiba ya tanganyika na kuwa kama vile magaragwe na kunde kuchanganya hujui ya muungano na yepi sio yamuungano.

Before muungano wetu ulikuwa unaitwa jamuhuri ya watu wa tanganyika na zanzibar,ambapo wakati huo tanganyika ilikuwa na katiba yake,ila rais alokuwa wa muungano pia alikuwa rais wa tanganyika wakati rais wa zanzbar alikuwa makamo wa kwanza wa muungano.

Kilicho fanyika Nyerere alifanya ujanja kuifuta Tanganyika ambayo nchi kamili iliyojipatia uhuru wake 1961,na kuita tanzania-Tan zania eti Tan imetoka katika tanganyika herufi za mwanzo tatu,na zania imetoka katika zanzibar sijui hapo nichambue vipi imetoka vipi katika zanzibar.

Halafu kachukua katiba ya tanyanyika na kutia yale makubaliano ya muungano ( article of union) kuchanganya pamoja na kuongeza viraka na kuita katiba ya tanzania. Ni kichekesho.

Nashangazwa sana kuona chadema wanapotamka neno tanzania wakisema kuwa wanatetea wakati unasema tanzania unaijumisha na zanzibar,na zanzibar sasa hivi wanajadili muungano,wanacho hitaji sasa hivi kujadiliwa muungano aidha kuleta serikali tatu kama ilivyokuwa hapo mwanzo tena ujadiliwe upya,au kuuvunja muungano.

Kwa nini chadema wasitamke tanganyika wanaposema wanataka katiba mpya kwa sababu wanaposema tanzania inawajumuisha na zanzibar wakati hawatetei watanzania wote ? Ikiwa wao wanatetea watanzania wote basi pia wafike zanzibar kutetea maslahi yao wazanzibari ,na moja ya maslahi hayo wanayohitaji ni zanzibar kuwa nchi yenye mamlaka yake yote,kimataifa na kitaifa.

Ikiwa kweli chadema munatetea watanzania pasi musitetee upande mmoja ambao ni tanzania bara,kwa jina jengine tanganyika.
 
Kakwambia nani kama wanatetea upande mmoja?
Halafu nyie mnaokurupuka na kuandika andika vitu visivyoeleweka sijui nani anawatuma? Kama kuna mtu anawatupa mwambieni ndio mnazidi kutupandisha chati,kwanza kubishana na nyie nisawa na kuisumbua akili yangu.
 
Umejitaidi ila "Craps"
Kumbuka Tendwa mpaka asajili chama chako lazma uwe na wapigakura kote bara na visiwani kama sikosei bara kuna idadi yake na visiwani kuna idadi yake usipotimiza vyote chama chako akisajiliwi wanaojua embu tupe hizo takwimu kati ya bara na visiwani

Mchangiaji kuwa makini usikurupuke.
 
Kakwambia nani kama wanatetea upande mmoja?
Halafu nyie mnaokurupuka na kuandika andika vitu visivyoeleweka sijui nani anawatuma? Kama kuna mtu anawatupa mwambieni ndio mnazidi kutupandisha chati,kwanza kubishana na nyie nisawa na kuisumbua akili yangu.

Kama chama chenu kinapigania Maslahi ya nchi nzima Zanzibar ikiwemo, mbona mmepinga Waziwazi Wa Zanzibar kuungana kwa kuacha siasa za chuki kwa kuunda Serikali ya Umoja? jee, mnaunga mkono Zanzibar kubadilisha Katiba? Jee, chama chenu kinakubali Zanzibar ijiunge na OIC?, jee, Chama chenu kikotayari kutetea mafuta ya Zanzibar yaondolewe ktk Muungano? jee, mnakubali Zanzibar wawe na Mahakama ya Kadhi?

Kama chama chako kinapinga yote hayo, utasemaje mnatetea Maslahi ya Wa TZ wote? hayo niliyokutajia ni sehemu ya Maslahi ya Watu wa Visiwani? unasemaje?
 
Ni mtetezi wa babu yako,bibi yako, mama yako,ndugu zako etc. sasa hawa wote wanaangukia kundi gani?
 
Kama chama chenu kinapigania Maslahi ya nchi nzima Zanzibar ikiwemo, mbona mmepinga Waziwazi Wa Zanzibar kuungana kwa kuacha siasa za chuki kwa kuunda Serikali ya Umoja? jee, mnaunga mkono Zanzibar kubadilisha Katiba? Jee, chama chenu kinakubali Zanzibar ijiunge na OIC?, jee, Chama chenu kikotayari kutetea mafuta ya Zanzibar yaondolewe ktk Muungano? jee, mnakubali Zanzibar wawe na Mahakama ya Kadhi?

Kama chama chako kinapinga yote hayo, utasemaje mnatetea Maslahi ya Wa TZ wote? hayo niliyokutajia ni sehemu ya Maslahi ya Watu wa Visiwani? unasemaje?

Zanzibar, Zanzibar.................

What is Zanzibar, by the way?
 
Nashangaa mtu anatumia muda mwingi kuandika, lakini ukisoma unakuta crap! Hivi suala la katiba mpya ni la CHADEMA tu?
 
Unaposema tanzania it means unaijumuisha na zanzibar ambayo sasa hivi wengi ya watanganyika ndio wamegundua kuwa ni nchi yenye mipaka yake.

Sasa hivi kuna mjadala wa katiba,katika mijadala inayokwenda Tanzania hapa zanzibar wao wanajadili muungano,kwa sababu katiba ya muungano imeingizwa ndani ya katiba ya tanganyika na kuwa kama vile magaragwe na kunde kuchanganya hujui ya muungano na yepi sio yamuungano.

Before muungano wetu ulikuwa unaitwa jamuhuri ya watu wa tanganyika na zanzibar,ambapo wakati huo tanganyika ilikuwa na katiba yake,ila rais alokuwa wa muungano pia alikuwa rais wa tanganyika wakati rais wa zanzbar alikuwa makamo wa kwanza wa muungano.

Kilicho fanyika Nyerere alifanya ujanja kuifuta Tanganyika ambayo nchi kamili iliyojipatia uhuru wake 1961,na kuita tanzania-Tan zania eti Tan imetoka katika tanganyika herufi za mwanzo tatu,na zania imetoka katika zanzibar sijui hapo nichambue vipi imetoka vipi katika zanzibar.

Halafu kachukua katiba ya tanyanyika na kutia yale makubaliano ya muungano ( article of union) kuchanganya pamoja na kuongeza viraka na kuita katiba ya tanzania. Ni kichekesho.

Nashangazwa sana kuona chadema wanapotamka neno tanzania wakisema kuwa wanatetea wakati unasema tanzania unaijumisha na zanzibar,na zanzibar sasa hivi wanajadili muungano,wanacho hitaji sasa hivi kujadiliwa muungano aidha kuleta serikali tatu kama ilivyokuwa hapo mwanzo tena ujadiliwe upya,au kuuvunja muungano.

Kwa nini chadema wasitamke tanganyika wanaposema wanataka katiba mpya kwa sababu wanaposema tanzania inawajumuisha na zanzibar wakati hawatetei watanzania wote ? Ikiwa wao wanatetea watanzania wote basi pia wafike zanzibar kutetea maslahi yao wazanzibari ,na moja ya maslahi hayo wanayohitaji ni zanzibar kuwa nchi yenye mamlaka yake yote,kimataifa na kitaifa.

Ikiwa kweli chadema munatetea watanzania pasi musitetee upande mmoja ambao ni tanzania bara,kwa jina jengine tanganyika.

Chadema ni wanafiki tu hawana jipya z zaidi ya kutetea tanganyika especially kanda ya ziwa na kaskaziini. Si watetezi wa Tanzania. Na sisi Znz hatuwatambui kama wao wasivyotutambua.
 
Kama chama chenu kinapigania Maslahi ya nchi nzima Zanzibar ikiwemo, mbona mmepinga Waziwazi Wa Zanzibar kuungana kwa kuacha siasa za chuki kwa kuunda Serikali ya Umoja? jee, mnaunga mkono Zanzibar kubadilisha Katiba? Jee, chama chenu kinakubali Zanzibar ijiunge na OIC?, jee, Chama chenu kikotayari kutetea mafuta ya Zanzibar yaondolewe ktk Muungano? jee, mnakubali Zanzibar wawe na Mahakama ya Kadhi?

Kama chama chako kinapinga yote hayo, utasemaje mnatetea Maslahi ya Wa TZ wote? hayo niliyokutajia ni sehemu ya Maslahi ya Watu wa Visiwani? unasemaje?
ccm unayoishabikia haitaki oic, mahakama ya kadhi na mafuta yanatakiwa na muungano sembuse cdm hawatakubali vyote hivyo,,,mukitaka muendelee na cuf yenu,,
 
Zanzibar, Zanzibar.................

What is Zanzibar, by the way?

Jerusalem.
What is Zanzibar, by the way?

You must be kidding,mkuu!
The best way to know the answer..try this
Take this name; Tanzania..then remove the -zan-
Then what is left is the answer,
Tan-zan-ia.......Tan....ia.
Mkuu ..tunakosea njia...kama unajua historia ya Tanzania,vipi imezaliwa Tanzania basi huwezi kufanya utani huu unaofanya.
Tanganyika iliungana na Zanzibar ndio leo tuna Tanzania. Jina la kisanii na utaifa wa kisanii. Vile vile nchi ya kisanii.

Moves wanazofanya wazanzibari zinatusaidia tuirudishe Tanganyika ambayo tutasherehekea uhuru wake wa miaka 50.
Are "you" not happy to get "our" Tanganyika back?
 
Kuna mtu anajiita Zubeda hapo juu, kila nikisoma comment yake naona element za Uzanzibar+Uislam, hivi hatuwezi kutenganisha vitu hivi? Yaani yeye hakuona maisha magumu ya watu wa Visiwani, hajaona elimu duni ya huko, hajaona sakata la umeme lililowaweka gizani miezi kadhaaa kipindi kile, wala hajaona tofauti ya maisha kati ya tajiri na maskini wa huko? Ila kaona kadhi, IOC na mafuta... Iko hivi, kama utalii wa Zanzibar haukumfaa masikini, hata hayo mafuta yatakuwa vivyo hivyo. Sucker....
 
Back
Top Bottom