Chadema sio chama sahihi cha mabaliko

..ndiyo maana nimetumia udhaifu mkubwa uliionyeshwa na viongozi wa CDM kutamka kwamba hakiwezi kuwa Chama sahihi Cha mabadiliko kwa watanzania!

Ninakubali tunaitaji mabadiliko watanzania ila mabadiliko ya Kweli kamwe "hayako CHADEMA"

Mkuu, unaposema udhaifu mkubwa unamaanisha upi?
-au hukisoma post niliyokujibu mwanzoni...hatumhukumu mtu/kikundi kwa mabaya tu aliyoyafanya..so, ukitaka kujenga hoja FIKIRIA HILO kwanza!

Pili, mabadiliko hayako CHAFEMA, wala CCM, no else where...SISI as wananchi ndiyo tutakaobadilisha! lakini kwa sasa hicho chombo cha kutufikisha hapo katika mabadiliko na kwa pamoja ni CHADEMA!

Tatu, katika uchunguzi wako, uligundua ni Chama gani kitatuunganisha katika kufikia mabadiliko?
 
Tanzania kuna vyama 22 vilivyosajiriwa. Ila Chama kisichokuwa na maadili na kinaongoza kwa ubaguzi ni CHADEMA, hakina nia dhati ya kumkomboa mwanachi mwenye kipato cha chini

Unajua mkuu, hilo ndiyo TATIZO ULILO NALO,.."unaongea ongea tu"..JENGA HOJA!!Eleza kwa uwazi na mifano HALISI kuwa unayosema yana mantiki!

1. Maadili ni nini?
2. Kina nani wana maadili?
3. Unadhani viongozi ambao si waadilifu wanapaswa kufanywa nini?

4. Hakina nia ya dhati kumkomboa mwananchi,KIVIPI?
5. Sera za CHADEMA zinasemaje?
6. Unafhani na Chama gani kinaweza "kumkomboa mwananchi", KIVIPI?


Jenga hoja VIZURI kisha watu tujadili lakini ukiacha jinsi ilivyo, usilalamike watu kutukana(kwani labda umegusa hisia zao kwa kusema bila mifano/hoja ZILIZOJENGEKA) na wengine ambao si wanachama wa CHADEMA kukerwa na uandishi MBOVU, mkuu!
 
Gaaaaambaaaa!

Kama lako?,hivi kwa nini baadhi yenu hampendi kusikia hata msiyoyapenda?!!!

Nonsense kabisa, sijui unaandika kwa kutumia mpododo.!!!
nadhani still una akili za mgando.

Kuwa na nidhamu,it means kwamba wewe huna wazazi kwa sababu adabu yako ndogo sana,unadhani matusi yatakusaidia au kumsaidia huyo mtu?,toa hoja ili akuelewe ni mtu anayehitaji kueleweshwa,au imekutatch nini?.

Ona mjitu mingine hii, limeacha kunyonyesha mtoto wake linaleta ***** hapa. GAMBA MKUBWA.

Kama gamba lake kubwa unapaswa kulipunguza na kisha kumvua na sio kumuacha kama alivyo wewe vi[i?!!!!!!!!

Bado ninamachungu kwa makanisa yaliyochomwa...Tafadhali leo ni Jumapili tusiharibiane siku mkuu..

Pole sana kwa taarifa yako yataendelea kuchomwa sana na mengine yanafuatia kesho,ni bora kama una hasira zinazokawia kwisha jizike ukiwa hai.

Ficha upumbavu wako by invisble!

Matusi ya nini?!!!.sasa unadhani kama yeye ni mpumbavu hala unamtukana atauacha upumbavu wake lini,sasa unadhani kwa comment yako hiyo kati yako na yeye nani mpumbavu???!!

Nyau wewe... Pepo toka.. Toka toka.. Toka pepo... Na ushindwe na ulegeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
gambaaaaaaaaaaa. Na tulizomeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hilooooooooooooooooooooooooooooooo
huna aibu.......... Pimbi weweeeeeeeeeeeeeee

Pimbi analiwa lakini!!!!!!

MKUU NATMAI NNAPE KAKUWEZESHA, MAANA IZI NI PUMBA ZA KIPUMBAFU FR CCM LZM ZINAUWEZESHO WA DHAIF et al

Tatizo watu hampendi kuambiwa ukweli ina maana wewe ulikuwa unataka kila mmoja apende unachopenda,au afikiri unavyofikiri?,ndio maana JF iko hapa.
 
Watanzania tulio wengi tuna penda kutukana bila kuchangia oja iliyoko mezani, tujaribu kuchangia hoja na pia kupunguza lawama kama watu wenye kufikiria vizuri.
 
Mkuu, unaposema udhaifu mkubwa unamaanisha upi?
-au hukisoma post niliyokujibu mwanzoni...hatumhukumu mtu/kikundi kwa mabaya tu aliyoyafanya..so, ukitaka kujenga hoja FIKIRIA HILO kwanza!

Pili, mabadiliko hayako CHAFEMA, wala CCM, no else where...SISI as wananchi ndiyo tutakaobadilisha! lakini kwa sasa hicho chombo cha kutufikisha hapo katika mabadiliko na kwa pamoja ni CHADEMA!

Tatu, katika uchunguzi wako, uligundua ni Chama gani kitatuunganisha katika kufikia mabadiliko?

Naomba utambue kuwa ubora wa Chama ni viongozi,Unapodai tusimuhukumu mtu au kikundi unamaanisha CHADEMA haina viongozi? Hao viongozi ndio mimi ninaosema ni dhaifu hawana uwezo wa kuliongoza taifa! M\kiti wa CDM ni mbunge wa Hai ni yapi ambayo ameleta Mapya ndani Jimbo? Katibu wake ni nikiongozi wa kutengeneza chuki baina ya serikali na wananchi ni kiongozi anaehatarisha amani ya nchi kama kauli anazotoa kwamba akishindwa patachimbika, kuwashawishi wananchi kuvamia kituo cha polisi, kuiitisha mikutano isiyo na kibari huyu ni kiongozi anakuwa mstari wa mbele kuchukua sheria mkononi sasa je tukimpa nchi itakuwaje? hii na dhaihiri kwamba ni kiongozi mchochezi, Zitto bungeni alikuwa kamati ya nishati na madini hakuna chochote alichofanya nini ? zaidi ya kujenga majumba na kujilimbikizia mali, CDM ni chama cha wachache ukiingalia Zitto aliitaji kugombea uwenyekiti wa Chama aliwekewa mizengwe, ametangaza kugombea uraisi anaitwa msaliti hii inamaanisha kuwa hichi chama sio cha wananchi bali kina watu kadhaa ambao wanashikilia maamuzi ya Chama iko wapi demokrasia wanaowadanganya wananchi kama ndani ya chama wameshindwa nchi wataiweza, Narudia tena CHADEMA sio chama cha kumkomboa mtu aliye na hali ya chini! Watanzania tuwe makini sana tusipokua makini tutanyang`anywa hata hiki kidogo tulichonacho.
 
Jamani, chonde chonde...........hata kichaa huwa anajiona mzima. Huyu jamaa mwacheni tu kwani hajitambui. Hivi aligombea nafasi gani kule UVICCM? aliambulia nini? BAVICHA inamkaribisha.
 
Unajua mkuu, hilo ndiyo TATIZO ULILO NALO,.."unaongea ongea tu"..JENGA HOJA!!Eleza kwa uwazi na mifano HALISI kuwa unayosema yana mantiki!

1. Maadili ni nini?
2. Kina nani wana maadili?
3. Unadhani viongozi ambao si waadilifu wanapaswa kufanywa nini?

4. Hakina nia ya dhati kumkomboa mwananchi,KIVIPI?
5. Sera za CHADEMA zinasemaje?
6. Unafhani na Chama gani kinaweza "kumkomboa mwananchi", KIVIPI?


Jenga hoja VIZURI kisha watu tujadili lakini ukiacha jinsi ilivyo, usilalamike watu kutukana(kwani labda umegusa hisia zao kwa kusema bila mifano/hoja ZILIZOJENGEKA) na wengine ambao si wanachama wa CHADEMA kukerwa na uandishi MBOVU, mkuu!

kaka katika maisha haya usiishi kwa ajiri mtu fulani anataka uishi hivi ogopa sana kutumiwa na mtu fulani napata mashaka kwani mimi hapa si mwandishi wa makala yani nikuambie hadi maana ya neno maadili, nami hapa sipo kwa ajiri ya chama fulani ambayo wewe unataka ujue mi nipo hapa ili kuwaambia watu ukweli ambao wewe hupendi kuusikia kuhusu CHADEMA.
 
kaka katika maisha haya usiishi kwa ajiri mtu fulani anataka uishi hivi ogopa sana kutumiwa na mtu fulani napata mashaka kwani mimi hapa si mwandishi wa makala yani nikuambie hadi maana ya neno maadili, nami hapa sipo kwa ajiri ya chama fulani ambayo wewe unataka ujue mi nipo hapa ili kuwaambia watu ukweli ambao wewe hupendi kuusikia kuhusu CHADEMA.

Hahahaha!! so unamaanisha natumiwa siyo?!..nikikuuliza au kukwambia thibitisha utaweza?..Na HII ndiyo naayoongelea(sme reason why watu walianza kukushambulia, and probably wataendelea kukushambulia if you cant correct that)..usipende kushutumu bila uhakika mkuu, just dont!


Ninaposema maadili, ninahitaji tuwe na common definition, now what is the problem for you toexplain that, IF YOU IT anyway?

Uandishi: Ninaposema uandishi si maanishi,eti ushindwe kuandika kwasababu wewe huandiki makala, ooh?! sijui wewe si mwandiashi wa habari...!! Do you think hilo ndilo jibu?..unataka kusema wanaoandika wote humu JF ni waandiahi wa habari, wanao-post comments zao wote ni waandika makala?!!

Jibu maswali CRITICALLY, achana na cheap answers...others sina cha kuongeza, mkuu.
 
Hahahaha!! so unamaanisha natumiwa siyo?!..nikikuuliza au kukwambia thibitisha utaweza?..Na HII ndiyo naayoongelea(sme reason why watu walianza kukushambulia, and probably wataendelea kukushambulia if you cant correct that)..usipende kushutumu bila uhakika mkuu, just dont!


Ninaposema maadili, ninahitaji tuwe na common definition, now what is the problem for you toexplain that, IF YOU IT anyway?

Uandishi: Ninaposema uandishi si maanishi,eti ushindwe kuandika kwasababu wewe huandiki makala, ooh?! sijui wewe si mwandiashi wa habari...!! Do you think hilo ndilo jibu?..unataka kusema wanaoandika wote humu JF ni waandiahi wa habari, wanao-post comments zao wote ni waandika makala?!!

Jibu maswali CRITICALLY, achana na cheap answers...others sina cha kuongeza, mkuu.
Neno maadili lina maana hii ni mkusanyiko wa kanuni zinazoongoza maisha ya watu katika jamii husika kwa lengo maalumu
, sasa basi naomba kujua mambo haya kuhusu CHADEMA

1. Masharti ya uanachama
2.Haki ya mwanachama wa CDM
3. Wajibu wa mwanachama
4.Miiko ya Uongozi
5.Uendeshaji wa Vikao na mikutano

Ukiweza kufafanua haya ndipo nitakapokuweza kwamba CHADEMA ni chama kisicho na maadili

Kwa mtu timamamu hawezi kutukana matusi pale anapoambiwa jambo ninapenda wanavyotukana ndivyo watu wanatambua hiki Chama cha wahuni wasio na busara
 
vijana wengi tunaitaji mabadiliko ya kiuchumi,kisiasa na kijamii ila cdm sio chama sahihi cha mabadiliko nasema haya kwa baada kufanya uchunguzi wa kina na kugundua kuwa hiki ni chama ambacho kinawatumia vijana kwa kuwapotosha ni si kuwajenga kupambana na changamoto! Juzi tu jijini mwanza tumeona mbunge wa cdm akitoa pesa ya kuandika mabango na kununua viroba ili wamzomee waziri mkuu wa tanzania kwel chama hiki sio sahii kwa madiliko! Viongoz wajuu wa cdm ndio chanzo kikuu cha kuanzisha vulugu na fujo ukiaangalia arusha katibu mkuu wa cdm dr wilboard slaa anawashawishi wananchi wakavamia kituo cha polsi huyu kiongoz alikuwa hana nia nzur, pia kiongoz huyu alitamka maneno haya km cdm haita shinda nchi haita karika anamaana alikuwa tayar kuingia mstuni hii ina maana yeye ni kiongoz asiyekubari kushindwa! Pia ni kiongoz mwenye uruho na madaraka na sio kuwakomboa watanzania! Ni wabunge wa cdm ndio waliongoz bungen kutomtambua rais hii inamaanisha wanakataa maamuz ya wananchi wa tanzania walipoamua kumpa ridhaa kuwa rais, wabunge wa cdm ndio waliokuwa mstari wa mbele kupinga posho, mishahara na magari ya kifahar ya wabunge ila hii wanatembelea magari yale yale kifahar na posho na mishahara wanapokea km kweli walikuwa na nia nzuri kwanin pesa hizo wasipokee na kuzileta kwenye shughuli za maendeleo! Watanzania ni muda muafaka sasa wa kutafakar kwa kina sio tudananywe na maneno, vijana tunaitaji mabadiliko kamwe chadema sio chaguo sasa kwetu

go to hell...
 
Jamani, chonde chonde...........hata kichaa huwa anajiona mzima. Huyu jamaa mwacheni tu kwani hajitambui. Hivi aligombea nafasi gani kule UVICCM? aliambulia nini? BAVICHA inamkaribisha.

Hapa ndipo napoendelea kuamini kuwa CHADEMA sio chama ni genge la watu fulani wenye nia ya kupotosha jamii, sasa hapa wewe umechangia nini kama kweli una nia nzuri na nchi letu
 
HAPPOCRATESSOCRATES
Ulidai wewe umesomea maadili ila nimetaka kujua mambo fulani kuhusu maadili ndani ya CHADEMA umekimbia au umeamua kunidhihirishia kuwa CDM haina maadili nazidi kupata wasiwasi mkubwa juu taaluma uliyonayo.
 
Neno maadili lina maana hii ni mkusanyiko wa kanuni zinazoongoza maisha ya watu katika jamii husika kwa lengo maalumu
, sasa basi naomba kujua mambo haya kuhusu CHADEMA

1. Masharti ya uanachama
2.Haki ya mwanachama wa CDM
3. Wajibu wa mwanachama
4.Miiko ya Uongozi
5.Uendeshaji wa Vikao na mikutano

Ukiweza kufafanua haya ndipo nitakapokuweza kwamba CHADEMA ni chama kisicho na maadili

Kwa mtu timamamu hawezi kutukana matusi pale anapoambiwa jambo ninapenda wanavyotukana ndivyo watu wanatambua hiki Chama cha wahuni wasio na busara

Mkuu, umeniuliza kana kwamba ni mwanachadema ila ingekuwa vizuri kupeleka katika Chama au tukipata mwanachama humu jamvini mkuu, au?
 
HAPPOCRATESSOCRATES
Ulidai wewe umesomea maadili ila nimetaka kujua mambo fulani kuhusu maadili ndani ya CHADEMA umekimbia au umeamua kunidhihirishia kuwa CDM haina maadili nazidi kupata wasiwasi mkubwa juu taaluma uliyonayo.

Mkuu kiwaya, naomba unithibitishie

1. Pale niliposema kuwa mimi nimesomea maadili
2. Niliposema mimi ni mwanachama wa CHADEMA

again read btn the lines and usiandike vitu kwa kuhisi!!
 
Mabadiliko ya kweli yataletwa na hawa wafuatao:

1/Watoto wa vigogo wa CCM wanaopewa vyeo ndani ya CCM(Eg. Le Mutuzi)

2/Familia ya Sultani Kikwete(Jakaya, Salma, Ridhwani, Miraji, Mwanaasha)

3/UVCCM wa Morogoro(Wale waliogomea uchaguzi mpaka wapewe kwanza chai)

4/UVCCM wa mkoa wa Mara(wale waliopigana viti wakigombea rushwa)

5/Marry Chitanda(Katibu wa CCM Arusha, yule aliyegoma kutambulisha Dume la Mbegu la wanaCCM wote Tz)

6/Wazee wa Bastola(Rage, Malima, Kigwangwala, Bashe)

7/Kamanda wa polisi Paul Kamuhunda na Dr. Emanuel Nchimbi(mzee wa kamati)

8/Wasanii wa bongo wanaopenda kukaa uchi na pia hawavaagi chupi (Eg. Wema Sepetu, Anti Ezekiel, Nakaaya Sumari)

9/Makada wafuatao wa CCM(Nape, Mukama, Mwigulu, Lusinde, Martin Shigella)

10/Anna Makinda(Spika wa kwanza mwanamke wa Tz)

11/Watangazaji wa Clauds Fm(Ephraim Kibonde, Gerald Hando, Mbwiga Mbwiguke, Diva)

Yeyote anaweza kusoma na kuandika anayo nafasi ya kugombea Tz katiba imempa ruksa, katiba aikubagua ni yupi anafaa kugombea awe tajiri, masikini, kilema, msanii, mtangazaji au mpishi kama wewe ulivyowagua
Hakuna cha maana ulichochangia
 
Taaluma inahusika vipi hapa?.. kwa nini usieleze taaluma yako kabla ya kuuliza yangu?!

Tafsiri kamili ya taaluma sio kiwango cha elimu ulichonacho. Taaluma ni upeo ulionao kutafakari juu ya jambo fulani, sasa uliposema chombo kinachoweza kutufikisha kwenye mabadiliko ni CHADEMA ulikuwa moja kwa moja umenidhihirishia kuwa wewe ni CDM ila nilipotaka kujua kama kweli ulitafakari na kuchunguza zaidi kuhusu CDM mpaka ukasema ndio chombo sahihi ndiyo maana mimi nkakuuliza kuhusu maadili ndani CDM ulikimbia swali! Hii imedhihirisha kuwa hukutafakari kwa kina kuhusu maamuzi yako ila unayo nafasi ya kufanya maamuzi mengine sahihi zaidi
 
Back
Top Bottom