CHADEMA si kimbilio la wasomi!

Hakuna msomi anaweza kuwa na muda na chama cha vihiyo. Mnyika ni form six alipata division three halafu wakati wa uchaguzi akadanganya eti ana division 1 ya point 3. Jamani, kuna mbunge wa mpanda wa chadema yeye ni darasa la saba. Jiulize hawa chadema nani amewahi kuwa angalau mkuu wa wilaya. Maprofessor woote ni ccm angalia wakina mwandosa, wangwe, mhongo, tibaijuka. Sasa chade ma ni
professor baregu peke yake. Lweitama ni chakubanga hana sifa za kitaaluma. Kitila mkumbo ni pandikizi amesomea education

pole sana kwa opeo kwa upeo wako mdogo sana.ni hilo tu.
 
mkuu mleta mada umesahau kuwa wasomi wengi ni waoga.wanafiki.hawaoneshi hisia zao.moyoni wanataka mabadiliko lakini machoni ccm? UJUE KUWA WENGI HAWAPIGI KURA BALI MAFUNDI WA KUONGEA NA KUANZISHA MIJADALA.HAO UNAOWSITA WA VIJIEENI NDO WAPIGA KURA.NA
NDIO WATAKAO IKOMBOA NCHI HII.SIO WASOMI.
 
Hakuna msomi anaweza kuwa na muda na chama cha vihiyo. Mnyika ni form six alipata division three halafu wakati wa uchaguzi akadanganya eti ana division 1 ya point 3. Jamani, kuna mbunge wa mpanda wa chadema yeye ni darasa la saba. Jiulize hawa chadema nani amewahi kuwa angalau mkuu wa wilaya. Maprofessor woote ni ccm angalia wakina mwandosa, wangwe, mhongo, tibaijuka. Sasa chade ma ni
professor baregu peke yake. Lweitama ni chakubanga hana sifa za kitaaluma. Kitila mkumbo ni pandikizi amesomea education

Tatizo la elimu ya kujitambua ni shida kwa wengi wetu.... kwa kawaida elimu nidaraja ya kukuwezesha kutimiza karama na kipawa ulichopewa...elimu kubwa si uongozi...ufaulu mkubwa si uongozi....uongozi ni utashi na uwezo wa kuonyesha njia sahihi..... hili halihitaji uprofesa... chukua mfano mzuri wa kwenye maandiko matakatifu utaona viongoz walipewa vijana wenye utashi, dhamira na malengo wala hawakuwa wasomi wakubwa kama mafarisayo.... BADILIKA, FIKIRI VYEMA PIGA HATUA, TIMIZA WAJIBU
 
Sikuishia hapo, nikaanza kuangalia vyuo vikuu kama vile UDSM, Ardhi University, MUHAS (Muhimbili), Mzumbe na SUA n.k pia na kwenye taasisi za elimu ya juu kama vile IFM, IAA, TIA na CBE n.k nikagundua CCM ina wanachama wengi sana tena wale viongozi wa serikali za wanafunzi ni wakereketwa wa chama chetu hiki imara na madhubuti.

Uliuzia sababu iliyofanya uchaguzi wa rais wa serikali ya wanafunzi (IFMSO) 2010/11 ulishindwa kufanyika?
 
Karne ya leo nashangaa kuona mtu mpumbavu kama huyu eti anayejiita msomi akati analeta ubaguzi wake, hivi hao vijana masikini sio watanzania? Kwani elimu uliyonayo ndio nini? Nipe mchango wa elimu ya Chenge na Balali ktk ujenzi wa tz yetu? Kumbuka karl Max alisema kwamba kweneye scientific socialism kwamba mabadiliko ya kweli huletwa na tabaka la chini ambalo linakandamizwa na tabaka la juu, toka lini mtoto wa waziri aandamane?

Nina wasiwasi na elmu yako kama ya mkoloni iliyoleta disunity kwa waafrika sababu ya mafalla na majuha kama wewe.

Nyambafu......

THINK BIG.

Ni kweli mabadiliko huletwa na tabaka la chini, lakini nafikiri hukumuelewa Max kuwa kazi ndio msingi wa maendeleo. Kama Max angekuja TZ na kupewa nchi vijana wa vijiweni wote angewaswaga na kuwapeleka mashambani mfano Gezaulole.

Kifupi Tabaka la chini la wavivu haliwezi kuleta mabadiliko hata siku moja. Kuandamana peke yake hakutoshi, ndio maana ninataka kusikia viongozi wa chadema kuwaambia ukweli wanachama wao kuwa baada ya kuandamana na kuwabwaga CCM, ni nini kitafuata kwa hawa wa kijiweni. Mkishindwa kuwaambia ukweli, na viongozi wenu ni matapeli.

Mwanasiasa ni kiongozi anayewaambia wananchi kile wanachopaswa kusikia, sio kile wanachopenda kusikia. Je mnaweza hayo?
 
Mtafiti gani mwenye bias.Umefika mwishoni unaonesha ushabiki.Kwenye tafiti huwa unajadili matokeo ya tafiti sasa we unapiga umbea.Chondechonde usitumie taaluma za watu vibaya kitumbua mkubwa
 
Mkuu Zawadi Ngoda,

1. Hoja huioni ina mantiki machoni "mwako"..wewe ndio mleta mada(it's so obvious utaona ina umuhimu) ila sisi wachangiaji ndio inabidi utushawishi, lakini si kama kwa njia hiyo hapo juu.

2. Nilikukumbusha kama MSOMI, inabidi ulete DATA za utafiti kama ambavyo nilisema mwanzo(nani aliufanya, wapi, lini, result...THEN ndiyo comparison ya cyama vingine vile vile pamoja na utafiti wao ulinganishwe) na si kwa kusema "wewe angalia mwenyewe tu", kirahisi namna hiyo.

3. Unapoita vijana wamitaani wamebweteka nadhani unakosea TENA, as wasomi we dont generalize mkuu, "to generalise is to be an idiot" mkuu...take that from me.

4. "Hujawahi kukutana na watu fulani wanaojiira wasomi lakini mamvo ambayo anayoyafanya ukiyaona unakataa hata kama ukiona cheti chake?!".. what difference is it thete then kwa "viongozi wasomi" uliowataja?

5. A leader is not born, is made! Kuna viongozi walikuwa hawana elimu kubwa lakini waliongoza katika mageuzi, nchi mbalimbali...wasomi hawakuwepo? walifanya nini?
Kwa mfano hapa TZ, Hayati Baba wa Taifa Mwl JK Nyerere, alikuwa ni mwalimu PROFFESIONALY, je hakukuwa na wasomi zaidi yake? lakini je hakuwa kiongozi bora? wale waliokuwa "wasomi" wako wapi?.. What legacy have they left for the country? will you compare with Mwalimu's?!
 
Rubbish. I thought you had a statistical evidence about your research, oh kumbe ulikuwa unaongelea hasira zako za kuona CDM inavyopendwa sana na wananchi. Lakini kumbuka kwamba hao unaowadharau eti hawajasoma ndo wapiga kura. Ungekuwa unawadharau hivyo halafu hapigi kura ningekuona wewe msomi, Wewe ni bure kabisa. Kama umesoma kama unavyojigamba basi tumia elimu yako kurekebisha Chama chako hicho ambacho unakiona ni bora.

Inapendwa na kundi la watu aina gani, kuwa muazi ktk hili.
 
Zawadi kumbe bado upo? Nilikwisha kukusahau! Sasa kufufuka huko na hoja hafifu, taabu tu! Hivi kwa nini unawabagua watanzania? Hao vijana wa kijiweni hawastahili kuwa wanachama? Ilikuwaje wawe wa kijiweni? Huoni kwa nini hawa wawe wapinzani? Huoni ni kielelzo tosha kwamba hawakubaliani na mfumo wa utawala? Na Kadiri ya wingi wao katika upinzani ni hoja tosha kwamba CCM mmeshachapia!


Lakini angalia hoja za hapajukwani, hayumkini mpangilio mzuri aw hoja unaashiria mchangiaji ni mwana CDM ana maelekezo aw upinzani, maana yake ni...........
 
Tumewachoka chadema wanaoshabikia hawakijui undani wake ila ukiwa mchunguzi utagundua kile ni chama cha ukoo wa kaskazini mwa Tanzania.

Hili ni tatizo jingine kubwa sana, ili CHADEMA idumu ni lazima ijivue kutoka katika dhana hii. Pengine ndio kisa cha kukumbatia vijana wa vijiweni wasiowajua mbinu zao.
 
Kweli wewe ni zawadi ya magamba, unaona sasa vijana wa vijiweni wanavyo wafanya muweweseke? Ndo umeandika nini matapishi matupu?

Ndio lazima tuweweseke, maana hawa ni wepesi kupewa bunduki na kuanzia msituni. Tunataka amani ndio maana tunapoteza wakati kushinda hapa JF. Huenda maneno yetu yakawazindua na kuwa raia wema wakaepukana na CHADEMAS BRAIN WASH.
 
Inapendwa na kundi la watu aina gani, kuwa muazi ktk hili.

Mbona unakuwa na kung'ang'ania kundi la watu wa hali ya chini kupenda chama cha kisiasa, ...frankly speaking, is that how a great thinker should see?..in that perspective?! Tafadhali jibu hapo..na ingekuwa vizuri jibu likiwa la ndiyo au hapana, na maelezo mafupi ndio tuendelee...lakini baada ya kujibu hapo.
 
Zawadi kumbe bado upo? Nilikwisha kukusahau! Sasa kufufuka huko na hoja hafifu, taabu tu! Hivi kwa nini unawabagua watanzania? Hao vijana wa kijiweni hawastahili kuwa wanachama? Ilikuwaje wawe wa kijiweni? Huoni kwa nini hawa wawe wapinzani? Huoni ni kielelzo tosha kwamba hawakubaliani na mfumo wa utawala? Na Kadiri ya wingi wao katika upinzani ni hoja tosha kwamba CCM mmeshachapia!


Lakini angalia hoja za hapajukwani, hayumkini mpangilio mzuri aw hoja unaashiria mchangiaji ni mwana CDM ana maelekezo aw upinzani, maana yake ni...........

Nilikwenda mikoani na vijijini kfanya utafiti, kwa hiyo sikuwa nikionekana hapa JF. Kazi hii ilikuwa ni muhimu sana kwa ajili ya usalama wa taifa letu. Ni tafiti nyingi nimezifanya na ndio kwanza nimeanza kumwaga muhtasari wa tafiti moja baada ya nyingine.

Nafikiri mtafurani kuelewa ukweli na sio kudanganywa na magazeti tu. Kazi imeanza, tutofautishe kati ya vyama vya siasa na vile vya matapeli.
 
mleta mada kakurupuka hana data zozote za maana, angeleta evidence tungemjibu lkn kwa kuwa kapiga porojo anajibiwa sasawa na upumbavu wake. kwa taarifa ndogo hata serikalini 80% ya wafanyakazi ni wapenzi na wanachama wa cdm

haya ccm mnaodai mna elimu, tuambieni miaka 50 ya uhuru mmetuletea nini? hakuna maji, umeme, elimu na maradhi yametapakaa. viongozi karibu wote wa ccm(97%) ni wezi wa mali za umma, je elimu yenu imewasaidia nini? tambua viongozi wanazaliwa na sio wanafundishwa madarasani kama unavyodhani. ebu tupatie tathmini ya elimu ya ccm na maendeleo ya miaka 50, fikiria china na korea 1961 tulifanana kila kitu ktk uchumi lkn sasa hivi wenzetu wameendelea kupinfukia, ccm hata barabara zimewashinda kujenga?mnaongoza kula rushwa
huyu nadhani katumwa na magamba kuchafua hali ya hewa
 
Nyege za kisiasa mbaya sana ona hoja zake ko vjana wa vijiweni sio wapiga kula.

hivi we umewahonga nini mods mbona wanakupenda sana.tangu jana unaandika matusi lakini hupigwi ban.mods fungia huyu kijana kama kweli hili ni jukwaa huru.
 
Mbona unakuwa na kung'ang'ania kundi la watu wa hali ya chini kupenda chama cha kisiasa, ...frankly speaking, is that how a great thinker should see?..in that perspective?! Tafadhali jibu hapo..na ingekuwa vizuri jibu likiwa la ndiyo au hapana, na maelezo mafupi ndio tuendelee...lakini baada ya kujibu hapo.

Ndio, great thinker lazima afanye utafiti ambao utakuwa ni faida kwa wote. Huu ni muhtasari tu na ni muhimu kwa viongozi wa CHADEMA waufanyie kazi. Siwezi kufikiria vinginevyo ni vipi Great thinker atatumia akili yake zaidi ya hivi nilivyofanya.
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

Kmbe na wewe unaanzishaga Thead!!!
 
Kelele nyingi zimepigwa eti CHADEMA inatamba vyuo vikuu na kuzoa wanachama wengi wasomi.

Tafiti tulizozifanya kwa wanachama hai wa CHADEMA zinaonyesha takwimu tofauti kabisa. Wanachama wengi wa CHADEMA ni vijana wa vijiweni wasiopenda kazi na waqkati wao mwingi huupoteza kwa kutia gumzo na kuleta hadithi za alinacha.

Kiwango cha elimu cha wanachama wengi wa CHADEMA ni kuanzia darasa la saba mpaka kidato cha nne na baadhi ya form six failure kama inavyojieleza kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Na ndio maana CV zao zinapoanikwa hadharani kama Mh Sitta ALIVYOFANYA KWA Mh Mbowe, Mh Slaa akaanza kusema kuwa Sitta Kamdharau Mbowe. Jamani, Kukutangazia CV yako ndio dhambi.

Na kutokana na CV nyembamba za wanachama wa CHAMA hicho, ndio sababu kubwa ya chama hicho kuwa CHAMA CHA VURUGU NCHINI. Na hii inasababishwa na ueleo mdogo wa wanachama wake kutokana na elimu ndogo.

Fanya utafiti mdogo katika mji uliopo na utahakiki maneno yangu. Ukipata jibu ndio utaelewa kwanini CHADEMA HAIWEZI KUCHUKUA NCHI YETU.

mleta mada naona kakurupuka hana data zozote za maana, angeleta evidence tungemjibu lkn kwa kuwa kapiga porojo anajibiwa sawasawa na upumbavu wake. kwa taarifa ndogo hata serikalini 80% ya wafanyakazi ni wapenzi na wanachama wa cdm. tena wengine hufanya vikao kwa ajili ya kutoa technical advice na finacial support kwa chama

haya ccm mnaodai mna elimu, tuambieni miaka 50 ya uhuru mmetuletea nini? hakuna maji, umeme, elimu na maradhi yametapakaa kila pande ya nchi. wana wanalalia kamba na mawe badala ya magodoro na vitanda vya kisassa. viongozi karibu wote wa ccm(97%) ni wezi wa mali za umma, je elimu yenu imewasaidia nini? tambua viongozi wanazaliwa na sio wanafundishwa madarasani kama unavyodhani. ebu tupatie tathmini ya elimu ya ccm na maendeleo ya miaka 50 je vinafanana kama sivyo elimu haina maana na kama mleta mada umesoma nafikiri unafikiria kwa kutumia miguu na huenda elimu yako ulipew kwa huruma sio kwa kusoma.

ebu fikiria china na korea kusini miaka ya 1961 tulifanana kila kitu ktk uchumi lkn sasa hivi wenzetu wameendelea kupindukia, kwa mfano samsung, LG, JVC na magari mengi wanatengeneza wao na kuiuzia dunia, barabara ndio usiseme hata wenyeji wanapotea; ccm hata barabara zimewashinda kujenga ktk kipindi cha miaka 50 ya uhuru elimu yenu imewasaidia nini?

kuhusu Mhe. Mbowe ni bora ana elimu hiyo lakini siyo forgery kama wabunge wengi wa ccm wakiwamo wakina mwigulu nchemba alisomea/alinunua cheti cha mtu, Lusinde hata darasa la saba inaonekana hakumaliza je hapo unasemaje, ccm mnaongoza kwa kula rushwa. kama unabisha mwaga data tutakujibu

huyu nadhani katumwa na magamba kuchafua hali ya hewa wakati hana evidence
 
mleta mada kakurupuka hana data zozote za maana, angeleta evidence tungemjibu lkn kwa kuwa kapiga porojo anajibiwa sasawa na upumbavu wake. kwa taarifa ndogo hata serikalini 80% ya wafanyakazi ni wapenzi na wanachama wa cdm

haya ccm mnaodai mna elimu, tuambieni miaka 50 ya uhuru mmetuletea nini? hakuna maji, umeme, elimu na maradhi yametapakaa. viongozi karibu wote wa ccm(97%) ni wezi wa mali za umma, je elimu yenu imewasaidia nini? tambua viongozi wanazaliwa na sio wanafundishwa madarasani kama unavyodhani. ebu tupatie tathmini ya elimu ya ccm na maendeleo ya miaka 50, fikiria china na korea 1961 tulifanana kila kitu ktk uchumi lkn sasa hivi wenzetu wameendelea kupinfukia, ccm hata barabara zimewashinda kujenga?mnaongoza kula rushwa
huyu nadhani katumwa na magamba kuchafua hali ya hewa

80% ya wafanyakazi ni wapenzi wa CDM? Alow hapo umechemka. Haya jidanganyeni.
 
Kwanza napenda kuunga mkono hoja yako kuwa chadema sio kimbilio la wasomi bali ni kimbilio la failures. Hii nimekuwa nikiishuhudia mara kwa mara kwa kuangalia wanachama wengi wa chadema katika eneo ninaloishi, nikagundua wengi ni MATEJA, WEZI, VIJANA WA VIJIWENI. Nikaenda mbali zaidi nikagundua wengine wanaoiunga mkono chadema ni hawa wakimbizi ambao wanaishi hapa nchini kinyume na sheria. Makundi haya ya watu mara nyingi hawatambuliki katika daftari la kudumu la wapiga kura, kwa maana hawana kadi rasmi ya mpiga kura ambapo kimsingi hawawezi kutekeleza haki ya kupiga kura.

Sikuishia hapo, nikaanza kuangalia vyuo vikuu kama vile UDSM, Ardhi University, MUHAS (Muhimbili), Mzumbe na SUA n.k pia na kwenye taasisi za elimu ya juu kama vile IFM, IAA, TIA na CBE n.k nikagundua CCM ina wanachama wengi sana tena wale viongozi wa serikali za wanafunzi ni wakereketwa wa chama chetu hiki imara na madhubuti.

Hapa nikafanya hitimisho ya kwamba, sababu kubwa ya CCM kuibuka kidedea kila mwaka tangu mfumo huu wa vyama vingi kuanzishwa ni pale ilivyoamua kuweka vigezo na masharti katika upatikanaji wa wanachama wao.

Vigezo hivyo na masharti vinataka watu wazalendo na taifa lao, watu waadilifu, watu wenye kujishughulisha na wenye utayari wa kujitoa kufanya kazi za kijamii (hatutaki kabisa wavivu, wazembe na mazezeta). Ukiangalia hapo utaona wasomi na wananchi wanaojituma kama wafanyakazi na wakulima ndio wanakidhi hivyo vigezo na masharti, makundi haya yana kadi ya mpiga kura na ndio wapiga kura wengi, kimsingi kundi hili ndilo linatupa CCM ushindi wa kishindo dhidi ya wapinzani uchwara ambao tunaona wengi ni waroho wa madaraka.

Ndugu yangu mwananchi mwenzangu wa Tanzania, kaa hapo ulipo utafakari kwa nafasi uliyonayo katika jamii, je unastahili kuwa mahala gani kiitikadi? Maamuzi ni yako lakini ukumbuke yanaathiri taifa letu, fanya maamuzi sahihi kwa ustawi mzuri wa nchi yetu.
1. Hapo kwenye RED tatizo unakaa bila kuwa na kumbukumbu kama CCM ina wanachama wengi kwa nini uchaguzi mkuu 2010 walifunga vyuo vyote na kuwakosesha wanafunzi hao haki yao ya kupiga kura?

2. Hapo kwenye blue bado nakukumbusha tena mafisadi tunaowazungumzia hivi sasa ni wazalendo? na waadilifu? na ni wanachama wa chama gani?

3. Na nakukumbusha tena baraza la mawaziri lililofanyiwa marekebisho hivi karibuni tatizo na sababu hasa za kufanya marekebisho hayo ni nini? na hao mawaziri ni wa chama gani?

4. Kundi kubwa la wauza madawa ya kurevya, majambazi sugu wanalindwa na chama gani? na ni wanachama wa chama gani?

Ukijibu hayo maswali utapata majibu sio kuandika mambo ya kimahaba mahaba na hicho chama unachojifanya kukipenda.
 
Back
Top Bottom