Chadema should not apologize!

Freedom of speak! Mwanakijiji anahaki yake ya kimsingi kusema aliyonayo moyoni sidhani kama anahaki ya kukosolewa kwa aliyoyasema toka moyoni mwake!
 
My Take: There was no need for you to start a new thread on the same issue, don't you think it could have been a good idea to reply these views of yours on the same thread? My problem is a distortion of concentration when dealing with two identical threads. Did you see this, "Reply" "Reply With Quote". What did you think is there for?
I see it worth a separate heading, this is more of Mwanakijiji and CCM. As you can see many of us including you have responded.
 
Kutokana na Makala yake ya kuitaka CHADEMA iiombe Radhi CCM. Tunamuomba mwanakijiji aache mambo ya kinafiki. Huyu mtu haeleweki. Huko Detroit atakuja kuchoka tu na kurudi kwao Tanzania, na itakuwa vyema aikijijengea mazingira mazuri. Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kuiambia CHADEMA imuombe Radhi CCM, baada ya Wizi wa mali yetu kwa miaka 49?

Mwanakijiji,
I think you are on your death bed, and should continue to remain a mystery. Once upon a time, you were CCJ die hard fan. That came to pass, you jumped CHADEMAS train, and that is becoming history. I can see you are rushing to fly high CCM's flag, Good for you!

in my world, you are a nobody, and those glorifying you are as dumb as you are. I have never seen any man with sanity using so many aliases.Ndulu mwana wa Nzela, and the list goes on. What are you concealing? If you are a good man, then let be known who you ar,e and yout true intents. I guess you have swallowed a big peace of the DOWANS cake?

Of political prostitutes, and hypocrates I have ever come across, You are topping the list. You are more dangerous, than Mrema, Marando and even Zitto Kabwe. I guess you have blood relationship with the CCJ founder, and can only wish you all the best in your effort to scruttle CHADEMA. Good luck in the name of JF where we dare talk freely.
Wewe ni mtumwa wa MBOWE, tena nina wasiwasi wewe ni MANGI....... samahani '' when truth is ditched as you are doing, frakly overcomes me'' nilishawahi kuandika humu kuwa makosa ya kimsingi yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na CCM, ndio yanayofanywa na CDM leo hii. uongozi wa kiimla, udictator, maamuzi yanayofikiwa bila kufikiria athari, ukabila ndani ya uongozi wa chama, urafiki, umalaya,ufisadi na tamaa iliyopitiliza. Hayo yote yamo CCM na CDM na ndio yanayoimaliza CCM na ndio yatakayokifanya CDM isiwe chama chenye future yoyote.
tofauti ya CCM na CDM, ni kwamba... CCM ni chama kikongwe na kuna makada wengi saaaana wenye uwezo wa kuongoza na kukikomboa chama na kuendelea kuwa mhimili wa uongozi kwa miaka mingi ijayo,,, hilo CDM hawana na nafasi ya kuwa hivyo wameipoteza.
KWAKO WEWE MTUMWA WA WANASIASA...... huu sio muda wa kuweka akili pembeni na kusikiliza kila kitu kinachotoka mdomoni mwa wanasiasa husan kutoka katika chama unachokishabikia. tumia akili kwani wenzako walioelimika wanakuona kituko. big up to MWANAKIJIJI. haijalishi alikuwa anakiunga mkono chama gani lakini ukweli ukijidhihirisha huwa anasimama nao.that's how a man..A TRUE MAN SHOULD BE
 
asiejua maana haambiwi maana nimekumbuka wimbo flani hiviiiiiiiii"usimchezee chatu,oooh chatu eeeeeeeeeeeh,gongo usimtupie..........."
 
I can see this "mzee" anasoma mawazo yenu tu hapa na kugonga thanks!
Personally,though i have never seen this man,or even sure if the name "mwanakijiji" is his real name,.....i like him and HE IS MY MENTAL, each time i read his articles i get something new,....if you are not careful,..there are points which are always hidden in his articles and you will miss them.

Keep it up "mzee mwanakijiji"....."mimi mwanakijiji" mmmmmmh these names bana,but you are a great thinker and i've got what you meant!

Why are all these happening within a two months???

ngoja niende darasani kwanza mimi
 
Based on Mwanakijiji's analysis below, I am categorically herein urging this gentleman to apologize to Tanzanians for being such an hypocrate. This man with 1000 aliases, has been confusing the country. He once upon a time unearthed and defended the dead CCJ policies. Once their ship capsized he jumped into Chadema, today after receiving briefcases from CCM he is becoming a JK's mouthpiece.

Mr. Man, I think we can handle you here interlectually. Dont take our silence for granted or as a sign of weakness. dont be deceived at all. Come out into the open and take a stand of where you belong. We dont need political prostitutes at the time when we need true patriots to fight for democracy. I can tell that you are one of those strategic "moles" implanted to destroy our few democtratic gains.

We are waiting for you to open the discussion, and will handle you to the bitter end, because we are ready to die for what we believe in. We are NOT, and are NEVER going to be hypocrates. Tell your handlers that, DOWANS, EPA and many of their corruption scandals will come to pass, and natural justice will one day take its course. It is just a matter of time

Mapandikizi na manafiki hawakawii .... mida yao inafika tu. This is your time[/I]

He has done nothing wrong....If you read his post between the lines, there is a person who has emotionally been devastated by what has been happening lately.
If you are a Chadema member/leader, you rather need to counsel than accuse him. That's what politically mature people do.

I hv said elsewhere and am saying it here again....Chadema owe no one any apology and on the same vein, MMJ owes no one any apology.
 
Mwanakijiji ni mtu makini makini sana na muelewa,tatizo la watu humu JF wameisha igeuza hii globu ni Tawi la CHADEMA. Hapa ni sehemu ya watu kutoa maoni yao na mawazo yao kwa ajili ya kujenga taifa letu, sasa mambo ya kumshutumu mtu yanatoka wapi ? na wewe toa mawazo yako watu wakusikie.

You are right!!! badala ya kuunga mkono tuwape pressure hawa jamaa issue za katiba na NEC vipate kasi..

Lini tutaelewa maana ya uandishi wa kebehi- satire? Turejee wasifu huu wa Mwanakijiji kwenye Twitter:

"An author, columnist, political satirist and wandering philosopher of the third kind!" - mimi mwanakijiji (mwanakijiji) on Twitter

watanzania wanajua kila kitu bwana!! kila kitu! hapa wamewekwa mbali kabisa na hali halisi, uandishi mgumu, kusoma na kuelewa ni kugumu pia!
 
Kutokana na Makala yake ya kuitaka CHADEMA iiombe Radhi CCM. Tunamuomba mwanakijiji aache mambo ya kinafiki. Huyu mtu haeleweki. Huko Detroit atakuja kuchoka tu na kurudi kwao Tanzania, na itakuwa vyema aikijijengea mazingira mazuri. Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kuiambia CHADEMA imuombe Radhi CCM, baada ya Wizi wa mali yetu kwa miaka 49?

Mwanakijiji,
I think you are on your death bed, and should continue to remain a mystery. Once upon a time, you were CCJ die hard fan. That came to pass, you jumped CHADEMAS train, and that is becoming history. I can see you are rushing to fly high CCM's flag, Good for you!

in my world, you are a nobody, and those glorifying you are as dumb as you are. I have never seen any man with sanity using so many aliases.Ndulu mwana wa Nzela, and the list goes on. What are you concealing? If you are a good man, then let be known who you ar,e and yout true intents. I guess you have swallowed a big peace of the DOWANS cake?

Of political prostitutes, and hypocrates I have ever come across, You are topping the list. You are more dangerous, than Mrema, Marando and even Zitto Kabwe. I guess you have blood relationship with the CCJ founder, and can only wish you all the best in your effort to scruttle CHADEMA. Good luck in the name of JF where we dare talk freely.

nimefungua makala yako nikidhani kuwa utajaribu kujibu hoja lakini sijaona ulichoandika zaidi ya kutukana...Mwanakijiji ameweka hoja mbalimbali sasa baada ya wewe kujibu umeenda kuropoka matusi. Kama huna uwezo wa kujibu hoja ni bora ungekaa kimya kuliko kuonesha jinsi uslivyo na uelewa mdogo ndani ya JF
Pole sana....u are disappointing everyone with your furious words.
 
I can see this "mzee" anasoma mawazo yenu tu hapa na kugonga thanks!
Personally,though i have never seen this man,or even sure if the name "mwanakijiji" is his real name,.....i like him and HE IS MY MENTAL, each time i read his articles i get something new,....if you are not careful,..there are points which are always hidden in his articles and you will miss them.

Keep it up "mzee mwanakijiji"....."mimi mwanakijiji" mmmmmmh these names bana,but you are a great thinker and i've got what you meant!

Why are all these happening within a two months???

ngoja niende darasani kwanza mimi

Duh Kidhungu kinatugonga! Hadi aibu ukisoma wabongo wanapochangia kwa kimombo, too many misplaced words!
 
Mimi ni mtanzania wa kawaida... naamini CCM waliiba kura, na kitendo cha chadema kuamua kujifungia chumbani na kuamua "kama vile hawajaibiwa kura" na kuja wakidhani watanzania ni mabwege sikiungi mkono... ni myopia ya kisiasa

waombe msamaha kama walituhumu au waseme walipotoshwa na wamtaje aliyewapotosha kusema CCM wameiba kura, wanilaumu hata mimi tu waseme ACID alitudanganya tukaamini wameiba kura na tumegundua sio... BLAME ACID NOT CHADEMA, KAMA HAMTAKI CHADEMA IKOSOLEWE

Mwanakijiji hana haja ya kuomba radhi wala ardhi
 
Out of all this nilichofahamu Mimi ni kuwa Chadema inajua kuwa haikushinda nafasi ya rais (hakuna sehemu hata moja ilowahi kusema hivyo) na imeamua kumtambua rais kwa sababu hawana sababu za kutomtambua.

Kura ziliibiwa ndio lakini Chadema inaonekana haina vithibitisho ya ziliibiwa kura ngapi na nani ni mshindi halali Kama si Kikwete
 
Mwanakijiji ana haki ya kuuliza na kukosoa lolote Chadema kama mtu yeyote yule. Huna haja ya kumuita majina yote hayo. Mimi ninamuelewa vizuri kwa nini kafikia uamuzi huo.
Hata mimi sijaelewa vizuri suala la Chadema kuitambua serikali ya Kikwete hadi waje na sababu za kuniridhisha. La sivyo ni kweli itabidi waombe msamaa kwa kauli zao za kwanza kuwa hawakumtambua rais.
Mimi ni mwana Chadema lakini nasema sintamtambua Kikwete kama rais wangu. Bado ninaamini ni rais wa NEC. sasa sijui na mimi utanitukana? Soma saini yangu na sintaibadilisha.

Hapo MMM and Wewe ndio mnapojichanganya, CDM haijamtambua kikwete soma Tanzania Daima ya leo December 14, 2010. Dr. Slaa amesisitiza, kwamba CDM haijamtambua rais.
 
Out of all this nilichofahamu Mimi ni kuwa Chadema inajua kuwa haikushinda nafasi ya rais (hakuna sehemu hata moja ilowahi kusema hivyo) na imeamua kumtambua rais kwa sababu hawana sababu za kutomtambua.

Kura ziliibiwa ndio lakini Chadema inaonekana haina vithibitisho ya ziliibiwa kura ngapi na nani ni mshindi halali Kama si Kikwete
ticha

tuna safari ndefu sana nchi hii

MMM hana haja ya kuomba radhi wala ardhi
 
Ingawa sikubaliani na lugha iliyotumiwa na mwanzishaji wa mada hii, with due respect, Mwanakijiji alikurupuka kuanzisha mada ya jana kwa kurely yaliyoandikwa magazetini kabla CDM awajatoa taarifa yao rasmi. Kwa aliyemsikiliza Dr. Slaa vyema jana ataelewa kwamba msimamo wa CDM bado ni uleule. Siku zote CDM wametwambia kwamba sio kwamba hawamtambui Rais, isipokuwa hawakubaliani na mfumo wa upatikanaji wake na kwamba kitendo chao cha kuwalk out ni kuonyesha protest dhidi ya mfumo huo. Hayo hayo ndiyo yaliyorudiwa na Dr. jana. Kwa mantiki hiyo sijaona walikojikanganya CDM isipokuwa mada ya jana ya mwanakijiji ndiyo iliyojikanganya.
 
QUOTE=Speaker;I "mzee mwanakijiji" IS MY MENTAL




What the heck is this?!? Did you happen to mean MENTOR?

Ha ha ha ha mbavu zangu mie, Lawama tunamtupia mjamaa wetu Nyerere rest in peace babu yangu. Kilema cha umombo kinatusumbua
 
Back
Top Bottom