tatizo sio cdm tatizo watoke waende wapi? Kuna market ya kuuza bidhaa zao? Tuwe wwa kweli mtu anapotafuta ridhiki yake unamwingilia, wakaibe? Hahao mnawadai ushuru wa serikali mbona sasa mnachanganya watu, wananchi wana hasira na ukali wa maisha huku serikali imeakaa kimya , plz think twice kabla hujasema maana ndio mnaansha hisia nyingine