Chacharika
Member
- Nov 6, 2010
- 51
- 13
Imenisikitisha sana. Lakini sishangai sana kwa huyu IGP kufanya madudu hayo kwani anatekeleza kile anachoagizwa na shemeji yake mkwere. hawa wajameni ni mashemeji yaani kamwoa dada ya mkwere, hivi hamsangai uongozi ni wa kifamilia zaidi. Hawa ni ndugu na ukirudi ofisini kwake wamkuta bibie mwingine aitwaje vile..... Hawa ghasia ni binamu ya nkewe. na wengine wengi.