CHADEMA sasa wajuta

Jun 13, 2011
59
8

Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.



 
Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.
Wakati akihutubia taifa mwenyekiti wa chama cha Magamba aliwahi kuwaambia watanzania wawapuuzie CDM kwa sababu maandamano yao yanachochea vurugu, asubuhi yake waziri wake atangaza bei ya sukari ishuke kutoka sh.2000 hadi 1700, hilo lilikuwa ni agizo mojawapo la CDM kwa serikali ndani ya siku saba....tafakari hilo halafu linganisha na huo upupu wako wa hapo juu
 

Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.



Dini gani hiyon unayoihusisha na CDM? Kikao kilifanyika wapi na lini? Hujaeleweka kuwa sasa wananchi wamewashutukia, ni wapi huko mbona mimi naona hawa jamaa kila uchwao wanajoingezea umaarufu kwa hoja ambazo wanazitoa bungeni.
 
Umetoa maelezo kama vile hayajitoshelezi hivi,ungeeleza kitu gani kinachofanya CDM kianze kujuta,kikao gani kilifanyika,lini,na kitu gani kilichojadiliwa kwenye hicho kikao,ebu jaribu kuleta kitu kamili na siyo kuipapasa tu juujuu.
 
Watumishi wa Magamba mnafanya kazi kubwa sana na ya kuchosha kweli kweli. lakini ima ni niliyo nayo ni kwamba hamlipwi inavyotakiwa. Hebu fikiria namna mnavyofanya bidii kutunga uongo na kuufanya uwe na sura ya ukweli. Fikiria mnavyofunga macho na masikio yenu msione ukweli kweupe na hatimaye mkaabudu uongo mkubwa na kuitaka jamii iamini ujinga wenu.

Ninajua kuwa kama watu wengine mngependa kuheshimiwa kama wajanja wengine lakini mmejitoa sadaka muhesabiwe kuwa uchafu kwa maneno yenu ya siasa za maji taka. Kwa hakika mnastahili pongezi kwa bidii hii na kujitolea sadaka.
Tatizo ni kwamba mnajitolea sadaka kwa mungu mkengemfu. mungu aliyelaaniwa, mungu wa mafisadi.

Poleni sana!!!!!!!!!!
 
nimeamini kweli siasa ni si hasa!hv unaweza kutujuza kuwa chadema n akina nan na wananch ni akina nani?sielew elew hapa unamaanisha nn mukubwa.
 

Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.




Wa chama cha magamba wakiongea utawajua tu! wanaweka tuhuma nzito bila kuweka uthibitisho wowote wa kile wanachoongea. Kavue gamba kwanza linalowashinda/linalowaelema kulivua kisha ndio uweze kuongea tuhuma zako nzito dhidi ya CHADEMA.
 
nakerwa sana na nyie maohubiri udini wa CHADEMA, nawaambie siku watu wakiwaelewa na huo udini mnao uhubiri mtajuta kuyasema hayo.
'try to imagine' hao wakriso wote waliamua waipigie KURA CHADEMA hocho chama cha magamba unafikiri kitabaki'achemi hizo hoja za upotoshaji
 

Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.




hata kafu tuliambiwa kuwa ni chama cha kidini. usenge huu. tulishauzoea. kila anayepingana na CCM ni mdini. mafala nyie. you'll never stop us.
 
Swali ambalo halijajbiwa km chadema ni cha kidini 2ambien hao raia wanaojtokeza kwny maandamano ni wa dini hyo ya chadema au wote wana akil ya 'kushikiwa?' na pia hoja wanazotoa Chadema zmelenga kutetea 'dini yao' tu?! Changanya na zako.
 
Oic + uislam=ccm je hii ni kweli? Kwa nini unakuwa na mtazamo hasi na kanisa Katoliki? Wewe inaonekana ni muislam usiyejua Uislam. Kasome kwanza IslamicTheology ndipo urudi hapa jamvini.

inasikitisha sana...yaani hawa jamaa wako brainwashed mbaya! hawana tofauti na wale jamaa wanaojitoa mhanga wakiamini watakutana na mabira 72 ahera lakini viongozi wao wenyewe wanakula bata hapa duniani!
 

Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.

Kazi kweli kweli!!! Anyway... Good try....
 

Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.

Kilichonishangaza ni kwamba mwanzilishi wa thread hii siyo malaria sugu!!!!!!!
 
Kila lenye mwanzo lina mwisho na pia majuto ni mjukuu.Chama cha CHADEMA sasa kinaelekea ukingoni na hii ni kutokana kudhihirika kwa yale yalokuwepo chini ya Blanketi.Tangu siku nyingi chadema imekuwa imeshutumiwa kuwa ni chama cha kidini huku viongozi wake wakijaribu kuzitetea siri hizo zilizo katika uvungu wa kapeti.sasa siri hizo zimefichuka nahivyo wafuasi wake kuanza kung'amua na hivyo kukata tamaa na chama hicho kilchoaminiwa kama cha kitetezi huku kikijificha.Na sasa viongozi wa chadema wanajilaumu kwa kufanya kikao hicho kilichofichua siri.
we nenda kwanza kajifunze jinsi ya kujieleza vizuri then ndo uje kupost huku coz post za majungu nazifahamu vizuri.....
 
Back
Top Bottom