charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Wana CDM wenzangu, napenda kutoa ushauri kwa viongozi wetu wa chama na wabunge wetu CDM kuwa tumshukuru rais wetu KIKWETE kwa kukubali kuunda katiba mpya. Tunachotakiwa hivi sasa ni kujipanga namna ya kutoa MAONI yetu katiba iweje. Tusianzishe vurugu wala kuzusha mengine. Lazima tukubali kuwaweka sawa baadhi ya viongozi wetu wa chadema na wabunge kuhusu katiba, kwani wanatabia ya kutafuta SIFA BINAFSI ili wapate kuchaguliwa lakini tunaoumia ni sisi wananchi. Vinginevyo tutaonekana ni watu wa VURUGU.