Chadema sasa itoke vipi?

duh...yaani hii hata kama ni condom basi itakuwa ni ile iliyotumika ikatupwa halafu ikaokotwa tena ili itumike mara ya pili...aaarghh
 
Jibu hoja acha kutapatapa Chadema itoke vipi au ndo itapotea kama MR Nice
Mitoa thread hizi ndizo taarifa zako Join Date : 12th March 2012 Posts : 140 Rep Power : 337 Likes Received 13, Likes Given 10 unajijibu ili kuongeza uchangiaji wako. Mnachokosea toeni kauli zenu msidandie mara Wazee wa kichaga, wewe ****** unasemaje? Au ni ile mna jina la rais wa 2015 ambaye hatikiwi atoke kaskazini?
 
Singo ziko nyingi sana. Inayotamba saa hizi ni ya ccm kugeuka chama cha wauaji kwa kuua makada wa CDM. Ikiisha hiyo inarudi agenda isiyochuja ya kupanda kwa bei za bidhaa na mfumuko wa bei unaosababisha maelfu ya watanzania kula mlo mmoja. Then Bunge litaanza na wabunge wa CDM wataSHINE huku wenu wa magamba wakiuchapa usingizi chini ya kamanda wao Wassira
 
Yawezekana kabisa mwanzisha thread hii katoka jela, na huenda amekaa jela tangu 1995, maana propaganda kama hizo zinafanana kabisa na enzi hizo. Walisema vyama vya upinzani vitaleta vita kama Rwanda, Burudi, Somalia n.k n.k. Leo hii wa tz hawadanganyiki, umepitwa na wakati! Huwezi kuwatoa wanachadema kirahisi hivyo. PEOPLE'S POWER.
 
baba na mwana.jpg
magamba at work
 
Kutokana na siasa za msimu za Tanzania; wachambuzi wa mambo sasa wanajiuliza sasa chadema itatoka na singo gani ama agenda ipi baada ya agenda zake kuchuja. Wiki moja iliyopita CDM ilivuma na singo ya kubadilisha baraza la Mawaziri but agenda hiyo imechuja baada ya JK kubadili baraza la mawaziri. Agenda na nyimbo nyingine zilizochuja ni zile za kampeni ya Vua Gamba vaa Gwanda ikiwa ni pamoja na wanachama maamluki wa ccm kuhamia chadema, agenda hiyo imeshazoeleka maskioni mwa wa Tanzaj
inasikitisha sana kuona bado kuna baadhi ya watu hawaoni adui wa tanzania ninani,..! Mwizi ni mchaga au mwizi ni sisiemu?mnatumia masaburi kufikiri,wachaga wapo mpaka kijijini kwako,hebu linganisha hali yao kiuchumi alafu linganisha na hali yako na wanakiji wa hapo alafu usinipe jibu,unateswa na ukabila na udini tatizo lako,usibishane na wakati when da changes its comes,nothing can opose dat changes coz its like storm onthe ocean
 
Kutokana na siasa za msimu za Tanzania; wachambuzi wa mambo sasa wanajiuliza sasa chadema itatoka na singo gani ama agenda ipi baada ya agenda zake kuchuja. Wiki moja iliyopita CDM ilivuma na singo ya kubadilisha baraza la Mawaziri but agenda hiyo imechuja baada ya JK kubadili baraza la mawaziri. Agenda na nyimbo nyingine zilizochuja ni zile za kampeni ya Vua Gamba vaa Gwanda ikiwa ni pamoja na wanachama maamluki wa ccm kuhamia chadema, agenda hiyo imeshazoeleka maskioni mwa wa Tanzania na hivyo kuwa haina mvuto.

Kwasasa CDM inatapatapa kuwasafisha wachaga na wanaarusha wanaotaka kupotoshwa na Nasari ambaye anatangaza kujitenga kwa kanda ya kaskazini huku akijua wachaga ndio kabila linaloongoza kuzagaa na kumiliki mali na vitega uchumi katika mikoa yote ya Tanzania na hivyo kabila hilo kwasasa linajipanga rasmi kuitosa chadema kutokana na kauli zinaweza kuhatarisha biashara na maisha ya wachaga walio nje ya Kilimanjaro na Arusha kwani ndio waliowengi na wanaongoza kwa kipato kuliko wachaga waliobakia milimani

Njia nyeupe sasa kwa CCM kuendeea kutawala Taifa la Tanzania baada ya agenda zote za Chadema Kuchuja kwa Mpigo na umaarufu wa viongozi wake wa kuu hasa Dr Slaa kuendelea kufifia.


Wasukuma wagoma kuunga Mkono kauli ya Nasari ya kujitenga



kaka naona una upungufu wa kufikiri na network za ubongo hazikamati vizuri. hizo tathmini zako za kijing asio za kweli na usipende kutumia data za uongo kufurahisha moyo wako. Hakuna mtu timamu kuanzia watoto mpaka wazee wasioipenda chadema. wanayoichukia ni mafisadi na wenye mashaka pindi chadema wakichukuwa nchi kujulikana uozo wanaofichiwa na ccm. hata ungeenda kusomea phd ya kushawishi watu umegonga mwamba. we are talking of realities noth myth stories. watu wameamka na wanataka kuona mabadiliko sio kauli za kijinga kama hii. think deeply na tafakazi, usipelekwe na hisia ila kaa chini uandike kitu chenge manufaa kwa ukombozi wa taifa hili linalotafunwa na food mongers wa ccm. tuangalie mifano ya majirani zetu jinsi wanavyotudhihaki na kuona sisi kama nchi ya zombies. Mungu ni mwema atatusadia, uchawi na waganga kwetu ni mwiko
 
Back
Top Bottom