Chadema sasa itoke vipi?

Mr Emmy

JF-Expert Member
Mar 12, 2012
1,219
550
Kutokana na siasa za msimu za Tanzania; wachambuzi wa mambo sasa wanajiuliza sasa chadema itatoka na singo gani ama agenda ipi baada ya agenda zake kuchuja. Wiki moja iliyopita CDM ilivuma na singo ya kubadilisha baraza la Mawaziri but agenda hiyo imechuja baada ya JK kubadili baraza la mawaziri. Agenda na nyimbo nyingine zilizochuja ni zile za kampeni ya Vua Gamba vaa Gwanda ikiwa ni pamoja na wanachama maamluki wa ccm kuhamia chadema, agenda hiyo imeshazoeleka maskioni mwa wa Tanzania na hivyo kuwa haina mvuto.

Kwasasa CDM inatapatapa kuwasafisha wachaga na wanaarusha wanaotaka kupotoshwa na Nasari ambaye anatangaza kujitenga kwa kanda ya kaskazini huku akijua wachaga ndio kabila linaloongoza kuzagaa na kumiliki mali na vitega uchumi katika mikoa yote ya Tanzania na hivyo kabila hilo kwasasa linajipanga rasmi kuitosa chadema kutokana na kauli zinaweza kuhatarisha biashara na maisha ya wachaga walio nje ya Kilimanjaro na Arusha kwani ndio waliowengi na wanaongoza kwa kipato kuliko wachaga waliobakia milimani

Njia nyeupe sasa kwa CCM kuendeea kutawala Taifa la Tanzania baada ya agenda zote za Chadema Kuchuja kwa Mpigo na umaarufu wa viongozi wake wa kuu hasa Dr Slaa kuendelea kufifia.

Wasukuma wagoma kuunga Mkono kauli ya Nasari ya kujitenga
 
duuu kweli nchi hii ina vichwa kama hiki ni kichwa cha aina yake!
:loco::loco:
 
Akili yako..unataka kututeka kisaikology kuwa wachaga watatutosa eee,.CHADEMA SI CHAMA CHA WACHAGA SO HATA WAKITUTOSA HAKUNA NOMA BT chadema itatoswa na watanzania ote kama hawakitaki na si leo.hoja yako kama TUNTEMEKE
 
nadhani kama wewe huna akili timamu basi kaa kimya wasikize wenye kuwaza na kuwazua. Hii siyo issue ya kuja nayo sasa
 
Kauli ya Nasari Wazee wa Kichaga wapanga kukitosa Chama, Mbowe ahaha kukisafisha
Akili yako..unataka kututeka kisaikology kuwa wachaga watatutosa eee,.CHADEMA SI CHAMA CHA WACHAGA SO HATA WAKITUTOSA HAKUNA NOMA BT chadema itatoswa na watanzania ote kama hawakitaki na si leo.hoja yako kama TUNTEMEKE
 
Kauli ya Nasari Wazee wa Kichaga wapanga kukitosa Chama, Mbowe ahaha kukisafisha

Mitoa thread hizi ndizo taarifa zako Join Date : 12th March 2012 Posts : 140 Rep Power : 337 Likes Received 13, Likes Given 10 unajijibu ili kuongeza uchangiaji wako. Mnachokosea toeni kauli zenu msidandie mara Wazee wa kichaga, wewe ****** unasemaje? Au ni ile mna jina la rais wa 2015 ambaye hatikiwi atoke kaskazini?
 
Kutokana na siasa za msimu za Tanzania; wachambuzi wa mambo sasa wanajiuliza sasa chadema itatoka na singo gani ama agenda ipi baada ya agenda zake kuchuja. Wiki moja iliyopita CDM ilivuma na singo ya kubadilisha baraza la Mawaziri but agenda hiyo imechuja baada ya JK kubadili baraza la mawaziri. Agenda na nyimbo nyingine zilizochuja ni zile za kampeni ya Vua Gamba vaa Gwanda ikiwa ni pamoja na wanachama maamluki wa ccm kuhamia chadema, agenda hiyo imeshazoeleka maskioni mwa wa Tanzania na hivyo kuwa haina mvuto.

Kwasasa CDM inatapatapa kuwasafisha wachaga na wanaarusha wanaotaka kupotoshwa na Nasari ambaye anatangaza kujitenga kwa kanda ya kaskazini huku akijua wachaga ndio kabila linaloongoza kuzagaa na kumiliki mali na vitega uchumi katika mikoa yote ya Tanzania na hivyo kabila hilo kwasasa linajipanga rasmi kuitosa chadema kutokana na kauli zinaweza kuhatarisha biashara na maisha ya wachaga walio nje ya Kilimanjaro na Arusha kwani ndio waliowengi na wanaongoza kwa kipato kuliko wachaga waliobakia milimani

Njia nyeupe sasa kwa CCM kuendeea kutawala Taifa la Tanzania baada ya agenda zote za Chadema Kuchuja kwa Mpigo na umaarufu wa viongozi wake wa kuu hasa Dr Slaa kuendelea kufifia.
Wewe ni mwongo na hili hata mtoto haitaji kusaidiwa kulijua.
 
Kutokana na siasa za msimu za Tanzania; wachambuzi wa mambo sasa wanajiuliza sasa chadema itatoka na singo gani ama agenda ipi baada ya agenda zake kuchuja. Wiki moja iliyopita CDM ilivuma na singo ya kubadilisha baraza la Mawaziri but agenda hiyo imechuja baada ya JK kubadili baraza la mawaziri. Agenda na nyimbo nyingine zilizochuja ni zile za kampeni ya Vua Gamba vaa Gwanda ikiwa ni pamoja na wanachama maamluki wa ccm kuhamia chadema, agenda hiyo imeshazoeleka maskioni mwa wa Tanzania na hivyo kuwa haina mvuto.

Kwasasa CDM inatapatapa kuwasafisha wachaga na wanaarusha wanaotaka kupotoshwa na Nasari ambaye anatangaza kujitenga kwa kanda ya kaskazini huku akijua wachaga ndio kabila linaloongoza kuzagaa na kumiliki mali na vitega uchumi katika mikoa yote ya Tanzania na hivyo kabila hilo kwasasa linajipanga rasmi kuitosa chadema kutokana na kauli zinaweza kuhatarisha biashara na maisha ya wachaga walio nje ya Kilimanjaro na Arusha kwani ndio waliowengi na wanaongoza kwa kipato kuliko wachaga waliobakia milimani

Njia nyeupe sasa kwa CCM kuendeea kutawala Taifa la Tanzania baada ya agenda zote za Chadema Kuchuja kwa Mpigo na umaarufu wa viongozi wake wa kuu hasa Dr Slaa kuendelea kufifia.

mkuu leo ni happybirthday yako nn?
 
Hivi watu kama hawa wapo miaka hii duuh ni noma aiseee sijapata kuona hivi mtu kama huyu anatokea wapi?hivi kweli ni raia halisi wa Tanzania au anatokea Somalia au Iran maake hata nimeshindwa kuelewa hii issue yake kweli hata maandiko yanasema tuwasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo.Pole sana uliyeleta hii mada nasikitika sana huenda ukawa una matatizo ya ugonjwa wa akili so nakushauri tu ukapate ushauri wa Doctor kabla hujaanza kufanya vitu vya ajabu nina uhakika huenda ukapelekwa Lutindi kwenye Hospital ya wagonjwa wa akili na pale wanaweza kukukataa kwani watasema huyu moja kwa moja MIREMBEEEE maake ukoo juu.
 
Kurugenzi ya mawaziliano Ikulu imegeuka kuwa kurugenzi ya mawaziliano ya familia, Idara ya habari na uenezi ya CCM imegeuka na kuwa idara ya habari na uenezi ya CHADEMA.

Ni lini na toka kwa nani watanzania watapata taarifa juu ya mikakati ya kuinua huduma za afya, elimu, ajira, ulinzi na usalama, au usafiri wa anga na reli? Ni lini CCM itawaeleza wananchi juu ya utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi? Ni lini wananchi wataambiwa juu ya utekelezaji wa ahadi za Rais? CCM inaelewa wajibu wake?
 
huyo anayejiits mr emmy ana propaganda zilizopitwa na wakati; akajifunze tena kufanya propaganda.
 
Emmy,
In divine-given fundamental liberty on right to choose, Emmy, you've erred on folly. How did you degraded yourself and being deluded in dishonest to become a competent liar?

See what you will reap!
 
Huu wimbo ulikuwa kwenye Dirty Dancing na utagundua Wapenzi wa Nape hapa.......

 
Last edited by a moderator:
Kutokana na siasa za msimu za Tanzania; wachambuzi wa mambo sasa wanajiuliza sasa chadema itatoka na singo gani ama agenda ipi baada ya agenda zake kuchuja. Wiki moja iliyopita CDM ilivuma na singo ya kubadilisha baraza la Mawaziri but agenda hiyo imechuja baada ya JK kubadili baraza la mawaziri. Agenda na nyimbo nyingine zilizochuja ni zile za kampeni ya Vua Gamba vaa Gwanda ikiwa ni pamoja na wanachama maamluki wa ccm kuhamia chadema, agenda hiyo imeshazoeleka maskioni mwa wa Tanzania na hivyo kuwa haina mvuto.

Kwasasa CDM inatapatapa kuwasafisha wachaga na wanaarusha wanaotaka kupotoshwa na Nasari ambaye anatangaza kujitenga kwa kanda ya kaskazini huku akijua wachaga ndio kabila linaloongoza kuzagaa na kumiliki mali na vitega uchumi katika mikoa yote ya Tanzania na hivyo kabila hilo kwasasa linajipanga rasmi kuitosa chadema kutokana na kauli zinaweza kuhatarisha biashara na maisha ya wachaga walio nje ya Kilimanjaro na Arusha kwani ndio waliowengi na wanaongoza kwa kipato kuliko wachaga waliobakia milimani

Njia nyeupe sasa kwa CCM kuendeea kutawala Taifa la Tanzania baada ya agenda zote za Chadema Kuchuja kwa Mpigo na umaarufu wa viongozi wake wa kuu hasa Dr Slaa kuendelea kufifia.

Wasiwasi wangu haupo kwako...hivi na familia yako unaiongoza kwa mitizamo ya aina hiyo?Misingi ya Chadema inajengwa juu ya watu,watu walio na hamu na nia ya kulinda na kutetea maslahi ya Taifa,watu wanaolitanguliza Taifa mbele..Kuthibitisha hilo,chama kimekuwa kikitoa directives kwa serikali,zimetekelezwa na manufaa unayapata wewe pamoja na wenzako mlio na itikadi za magamba..
1.Tumetaka mabadiliko ya katiba,magamba wamefanya.
2.Tumehoji uadilifu,mmeanza kuvuana magamba.
3.Tumehoji matumiz mabovu ya rasilimali,mmeanza kuwajibishana
4.Tumeshinikiza baraza la mawaziri lipimwe na kuhimiza uadilifu,angalau nalo mmefanya..
5.Tunawaonesha wananchi kuwa mnawaibia na sasa wanawahama...Ilani yenu ya Uchaguzi mmetupa,mna2ckiliza..Mnapoteza cfa ya kuongoza nchi kwa kuwa hamuumizwi na ugumu wa wananchi..WATU GANI MNAUZA HADI TWIGA HAI ILI MPATE HELA YA KUJENGEA MAHEKALU YA KUISHI NA RAFIKI ZENU?CKU TWIGA WAKIISHA SI MTAUZA WATU???
R.I.P MAGAMBA...
 
Nakubaliana na wewe, ila cha kujiuliza hao Magamba wana singo ipi inayotamba mitaani? Manake hata za yule msukule wenu Komba sizisikii siku hizi!!!!!!!!!!!!!!!!
Watu kama nyie mnastahili kunyongwa hadi kufa maana mawazo kama yenu na hicho chama chenu ndicho kilichowazika Watz kwenye kaburi la umasikini!

Kutokana na siasa za msimu za Tanzania; wachambuzi wa mambo sasa wanajiuliza sasa chadema itatoka na singo gani ama agenda ipi baada ya agenda zake kuchuja. Wiki moja iliyopita CDM ilivuma na singo ya kubadilisha baraza la Mawaziri but agenda hiyo imechuja baada ya JK kubadili baraza la mawaziri. Agenda na nyimbo nyingine zilizochuja ni zile za kampeni ya Vua Gamba vaa Gwanda ikiwa ni pamoja na wanachama maamluki wa ccm kuhamia chadema, agenda hiyo imeshazoeleka maskioni mwa wa Tanzania na hivyo kuwa haina mvuto.

Kwasasa CDM inatapatapa kuwasafisha wachaga na wanaarusha wanaotaka kupotoshwa na Nasari ambaye anatangaza kujitenga kwa kanda ya kaskazini huku akijua wachaga ndio kabila linaloongoza kuzagaa na kumiliki mali na vitega uchumi katika mikoa yote ya Tanzania na hivyo kabila hilo kwasasa linajipanga rasmi kuitosa chadema kutokana na kauli zinaweza kuhatarisha biashara na maisha ya wachaga walio nje ya Kilimanjaro na Arusha kwani ndio waliowengi na wanaongoza kwa kipato kuliko wachaga waliobakia milimani

Njia nyeupe sasa kwa CCM kuendeea kutawala Taifa la Tanzania baada ya agenda zote za Chadema Kuchuja kwa Mpigo na umaarufu wa viongozi wake wa kuu hasa Dr Slaa kuendelea kufifia.

Wasukuma wagoma kuunga Mkono kauli ya Nasari ya kujitenga
 
Back
Top Bottom