Kutokana na siasa za msimu za Tanzania; wachambuzi wa mambo sasa wanajiuliza sasa chadema itatoka na singo gani ama agenda ipi baada ya agenda zake kuchuja. Wiki moja iliyopita CDM ilivuma na singo ya kubadilisha baraza la Mawaziri but agenda hiyo imechuja baada ya JK kubadili baraza la mawaziri. Agenda na nyimbo nyingine zilizochuja ni zile za kampeni ya Vua Gamba vaa Gwanda ikiwa ni pamoja na wanachama maamluki wa ccm kuhamia chadema, agenda hiyo imeshazoeleka maskioni mwa wa Tanzania na hivyo kuwa haina mvuto.
Kwasasa CDM inatapatapa kuwasafisha wachaga na wanaarusha wanaotaka kupotoshwa na Nasari ambaye anatangaza kujitenga kwa kanda ya kaskazini huku akijua wachaga ndio kabila linaloongoza kuzagaa na kumiliki mali na vitega uchumi katika mikoa yote ya Tanzania na hivyo kabila hilo kwasasa linajipanga rasmi kuitosa chadema kutokana na kauli zinaweza kuhatarisha biashara na maisha ya wachaga walio nje ya Kilimanjaro na Arusha kwani ndio waliowengi na wanaongoza kwa kipato kuliko wachaga waliobakia milimani
Njia nyeupe sasa kwa CCM kuendeea kutawala Taifa la Tanzania baada ya agenda zote za Chadema Kuchuja kwa Mpigo na umaarufu wa viongozi wake wa kuu hasa Dr Slaa kuendelea kufifia.
Wasukuma wagoma kuunga Mkono kauli ya Nasari ya kujitenga
Kwasasa CDM inatapatapa kuwasafisha wachaga na wanaarusha wanaotaka kupotoshwa na Nasari ambaye anatangaza kujitenga kwa kanda ya kaskazini huku akijua wachaga ndio kabila linaloongoza kuzagaa na kumiliki mali na vitega uchumi katika mikoa yote ya Tanzania na hivyo kabila hilo kwasasa linajipanga rasmi kuitosa chadema kutokana na kauli zinaweza kuhatarisha biashara na maisha ya wachaga walio nje ya Kilimanjaro na Arusha kwani ndio waliowengi na wanaongoza kwa kipato kuliko wachaga waliobakia milimani
Njia nyeupe sasa kwa CCM kuendeea kutawala Taifa la Tanzania baada ya agenda zote za Chadema Kuchuja kwa Mpigo na umaarufu wa viongozi wake wa kuu hasa Dr Slaa kuendelea kufifia.
Wasukuma wagoma kuunga Mkono kauli ya Nasari ya kujitenga