Chadema sasa chakomaa kisiasa- Arumeru Mashariki!!

T. 2015 CCM

Member
Feb 13, 2012
26
5
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

Kwa nini watu wengine mnapenda kujidhalilisha kiasi hiki? who is going to buy this craaap!! Hiyo inaweza kutokea kwa CCM, kwa kuwa ndiyo mambo mliyozoea kuyafanya kusema uwongo, hata Rais wa nchi anadiriki kusimama hadharani kudanganya, mawaziri wasema uwongo, wabunge waongo, mpaka ww sijui mshika bendera nawe mwongo tu. Inasikitisha tumekuwa Taifa ambalo kwa sasa kuamini habari yoyote unayoisikia au kuisoma kwenye chombo cha habari ni utashi wako tu. Sijui tunaenda wapi.
 
Kwanza huyu gamba Id yake kaiga avatar moja Kali sana ya mwana CDM mmoja humu jamvin hii anaonyesha hana ubunifu na fikra zake zipo kwenye masaburi
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

Wewe ndiyo muasisi wa waraka feki unaotumiwa na vilaza wenzio.Ni mwendo wa mchakachaka tu.mpe salamu sioi
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

Mods tuweke kitufe kilichoandika ***** mtu akiandika pumba tumgongee!
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

umetumwa na kama hujatumwa kichwani hazitoshi....subiri muone wameru watawafanya nini
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

Umerogwa?
 
Yaani kikao cha tathmini kwenye eneo la wazi?acha pumba zako,hakuna kikao chochote kilichofanyika,huu ni uzushi na uwendawazimu.Nyie ccm ndio waleta fujo,mmejaza vijana wenye mapanga,kama yule aliyeingilia msafara wa CHADEMA jana eneo la Leganga akiwa na panga na mabomu
 
Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu.
Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la Mini Market iliyo karibu na Rose View katika barabara ya Dik Dik, Leganga, katika mji wa USA RIVER, wilayani Arumeru, mkoani Arusha.
Baada ya kujiridhisha kuwa sasa ushindi haupo, katika kikao hicho, wameafikiana kwa pamoja kuanzisha siasa za uzushi katika mitandao na magazeti, mbalimbali nchini, huku wakiweka bajeti ya sh. Milioni 11, kwa ajili ya kazi ya kuvigiribu vyombo hivyo vya habari kuandika habari hizo. Mambo mengine ni pamoja na kumwagiza Ndg. Rwakatare kushirikiana kwa karibu na Mbunge wa Arusha Mjini kwa ajili ya kuandaa makundi ya vijana kutoka mkoani Kilimanjaro, na Arusha ili kujirundika siku ya kupiga kura na baada ya zoezi la kupiga kura, ili kufanya fujo zitakazowezesha matokeo kutotangzwa, na baadae kuvurugika kabisa.
Aidha wamekubaliana siku hiyo kuhakikisha kuwa jengo la Halmashauri ya wilaya ya Meru, linapata misukosuko ya kutosha kupitia vijana wao hao.

cooked,hakuna wenye dhamana ya kutangaza ushindi kabda wananchi hawajaamua
 
Kumjadili huyu mjinga alie jivua nguo kutasabisha na sisi kuanza kuvua viatu, halafu socks..... Matokeo yake tutafanana nae. Dawa ni kuacha mfereji wa chooni utiririshe maji kwenye tenk la uchafu (magamba).
 
Kwa nini watu wengine mnapenda kujidhalilisha kiasi hiki? who is going to buy this craaap!! Hiyo inaweza kutokea kwa CCM, kwa kuwa ndiyo mambo mliyozoea kuyafanya kusema uwongo, hata Rais wa nchi anadiriki kusimama hadharani kudanganya, mawaziri wasema uwongo, wabunge waongo, mpaka ww sijui mshika bendera nawe mwongo tu. Inasikitisha tumekuwa Taifa ambalo kwa sasa kuamini habari yoyote unayoisikia au kuisoma kwenye chombo cha habari ni utashi wako tu. Sijui tunaenda wapi.


nadhan hujamuelewa mtoa mada, kuna kitu anakimaanisha apa, hii naona ni vice versa be careful before kubisha
 
Kumjadili huyu mjinga alie jivua nguo kutasabisha na sisi kuanza kuvua viatu, halafu socks..... Matokeo yake tutafanana nae. Dawa ni kuacha mfereji wa chooni utiririshe maji kwenye tenk la uchafu (magamba).

waishabikiao ccm ni sawa na kopo la chooni ambalo ukibanwa unalihitaji na kulibeba kwa unyenyekevu maji yasimwagike na ukimaliza kujisaidia unalitupa chooni au chini likigalagala, ndio wananchi mnavyotendewa na ccm mkihitajika mnabebwa kwenye maroli mkutano ukiisha mnalalama baada ya kutelekezwa viwanjani
 
Back
Top Bottom