CHADEMA sacrifices zenu zinalipa saana msiogope matukio! Mnakumbuka Zitto na sasa Lema!

Kasimba G

JF-Expert Member
Jan 19, 2011
3,428
2,609
Kama kumbukumbu zangu ziko sawasawa, Zitto Kabwe alisimamishwa bunge enzi za mzee wa speed and standards, Zitto kama sacrifice alizidisha awareness za watu juu ya uwajibikaji katika serikali na kuwa na muono mwingine juu ya siasa za vyama vingi. Matokeo yake CHADEMA ikaongeza wabunge kwa zaidi ya 500% katika uchaguzi wa 2010.

Sasa bahati nzuri G Lema kaondolewa ubunge na mahakama naye ni sacrifice, hebu tusubiri matokeo nadhani yatalipa zaidi ya wakati wa Zitto, kwa kuwa Zitto sacrifice yake tayari ilibadirisha mtazamo wa watu, hii ya Lema, my opinion itakuja na upepo wa kisurisuri! Nadhani mambo yameisha anza hebu tusubiri muda kidogo, say mwezi mmoja kuanzia sasa.

Naona kwa mtazamo wangu Thread hii itakumbukwa baada ya muda huo kufikia.

Nawasilisha.
 
Tupo pamoja sana na makamanda Zitto na jembe Lema. Mungu uwatangulie katika ukombozi wa nchi yetu ambayo mafisadi wameitwa na kujimikisha.
 
mkuu naona unaangalia alama za nyakati, upo sawa.. wanachama wa CCM 1938 na wenyeviti watano wamejiunga chadema.. na huo naona ni mwanzo tu.

kuna wilaya naskia zinataka ofisi tu ili watu wajiunge so CDM kazi kwenu.
 
Kama kuna kitu kinakosekana CCM ni uongozi wenye charisma! Hawaoni mbali, kungukuwa na kiongozi mmoja tuu mwenye charisma wasingekuwa wanafanya mambo mengine, wanajimaliza wenyewe!
 
Ile ya Zitto mtoto, hii ya Lema kuvuliwa ubunge itasababisha maafa kwa ccm. Mpaka jana bunge zaidi ya robotatu walikuwa interested kujiunga na chadema
 
Every thing under the sun comes with a unique and special reason! Inaweza ikawa inaumiza lakini malipoyake huwa mazuri saana, Thaz why nimecoment CDM should give themselves a big heart!
 
Back
Top Bottom