mkweli1961
Senior Member
- Nov 9, 2010
- 148
- 44
kweli mkuu CHADEMA aliporwa Ubunge Kibaha.
mkoa wa pwani lindi mtwara tanga wengi wao vichwa ngumu hata uwachemshe na magadi hawalainiki, ila taabu zikiendelea watafunuka............. ccm haitaweza kuwadanganya milele iko siku danganya yao itafika mwisho. ILA WATU WA PWANI FUNGUKENI ACHENI KULALA LALA HAWA CCM WATAWAKAMEROOOOOOOOOOON
Asili ya watu wa pwani pamoja na deen zao lazima watakuwa mashabiki wakubwa wa chama cha KAFU aka chama cha marafiki wa Alshaabab
kwa nini hatusikii maandamano na mwamko wa CHADEMA mikoa ya Pwani? CHADEMA inaonekana iko very active mikoa ya KANDA YA KASKAZINI, ZIWA NA KANDA YA JUU KASKAZINI
Pwani inajumuisha:
BAGAMOYO
KIBAHA VIJIJINI
KIBAHA MJINI
KISARAWE
RUFIJI
MKURANGA
MAFIA
Kwa sababu kimaendeleo hawa ndio wako nyuma kuliko eneo lolote lile Tanzania na ingekuwa wepesi zaidi kwa watu wa mikoa hii kuamka na kuanza kulalamika juu ya serikali au tuseme kuwa watu wa PWANI hawana muda na CHADEMA?
Hivi statistically kwenye elections zilizopita CHADEMA ilipata asilimia ngapi Pwani na wilaya zipi ilishinda kwa wingi kati ya hizo hapo juu?
mkoa wa pwani lindi mtwara tanga wengi wao vichwa ngumu hata uwachemshe na magadi hawalainiki, ila taabu zikiendelea watafunuka............. ccm haitaweza kuwadanganya milele iko siku danganya yao itafika mwisho. ILA WATU WA PWANI FUNGUKENI ACHENI KULALA LALA HAWA CCM WATAWAKAMEROOOOOOOOOOON
watu wa pwani elimu ndogo wanachukua muda mrefu kutafakari jambo ndio aana nyerere alitoka bara kaamia dar 1953 akachukua uhuru mikononi mwao
Roho ya udini na ukabila inakusumbua mno ila ukitubu kwa kumaanisha kuikataa itakuondoka Mungu akuponye maana hujui madhara yake kwa taifa Angalia NIGERIA mkuuukweli ni kwamba chadema kina udini na ndio maana hawafiki huko kwa waislam wengi na pia watu wa pwani ni wastaarabu siasa za vurugu za watu wa bara kwao hazina tija.
kama zile alizosema rostam au? Magamba bana!majimbo uliyoyataja sikuhizi wamejaa wachaga ... wenyeji wa pwani siasa uchwara hawafagilii
Ustaarabu gani mkuu? kucheza ngoma na kunywa kahawa vibarazani ndo ustaarabu! Mie nadhani kinachowasumbua watu wa pwani ni ukosefu wa elimu na exposure.ukweli ni kwamba chadema kina udini na ndio maana hawafiki huko kwa waislam wengi na pia watu wa pwani ni wastaarabu siasa za vurugu za watu wa bara kwao hazina tija.
majimbo uliyoyataja sikuhizi wamejaa wachaga ... wenyeji wa pwani siasa uchwara za vurugu hawafagilii
Roho ya udini na ukabila inakusumbua mno ila ukitubu kwa kumaanisha kuikataa itakuondoka Mungu akuponye maana hujui madhara yake kwa taifa Angalia NIGERIA mkuu
Ustaarabu gani mkuu? kucheza ngoma na kunywa kahawa vibarazani ndo ustaarabu! Mie nadhani kinachowasumbua watu wa pwani ni ukosefu wa elimu na exposure.
igunga cdm ilikuwa haijulikana watukule walikuwa wanajua cuf na ccm . Hembu check uchaguzi uliopita cuf na ccm jasho la kwapani hadi mku--ni liliwatoka
Kama wachaga wameweza kuhamia hayo maeneo ya pwani na ku-change demographic ya maeneo unayoyasema basi wachaga ni noumer wataweza basi kufanya chochote. Umewapa promo kubwa sana wachaga bila wewe kujua hayo maujanja nilidhani wanayaweza wayahudi tu kumbe hata wachaga! loh......poor magamba
CHADEMA haijawahi kufanya lolote kuhusu mikoa ya pwani.....then unatarajia watu waipende CHADEMA kwa kuisikia redioni?! Watu wa pwani c wapumbavu kiasi hicho?! Look, CHADEMA waliingia na mbembwe za kufanya maandamano nchi nzima....ni mkoa gani wa pwani waligusa?
ukweli ni kwamba chadema kina udini na ndio maana hawafiki huko kwa waislam wengi na pia watu wa pwani ni wastaarabu siasa za vurugu za watu wa bara kwao hazina tija.
ushindwe mpenda vurugu mkubwa we,toka zako huko.Dar kwa ujumla wake ukiondoa kwa Mnyika na Mdee, inaonekana Dar hali ya maisha imebana sana hawana muda wa kujishughulisha na mageuzi zaidi ya kufukuzia mkate wa siku. Kama Dar wameshindwa kanda zingine zinasubiri viongozi wa CDM watangaze Benghazi ya Bongo rasmi tuanze kukichafua!
Pwani hatutaki ujinga wa maandamano na kuacha shughuli zetu za kupiga mahela,inshort hatutaki siasa uchwara.kwa nini hatusikii maandamano na mwamko wa CHADEMA mikoa ya Pwani? CHADEMA inaonekana iko very active mikoa ya KANDA YA KASKAZINI, ZIWA NA KANDA YA JUU KASKAZINI
Pwani inajumuisha:
BAGAMOYO
KIBAHA VIJIJINI
KIBAHA MJINI
KISARAWE
RUFIJI
MKURANGA
MAFIA
Kwa sababu kimaendeleo hawa ndio wako nyuma kuliko eneo lolote lile Tanzania na ingekuwa wepesi zaidi kwa watu wa mikoa hii kuamka na kuanza kulalamika juu ya serikali au tuseme kuwa watu wa PWANI hawana muda na CHADEMA?
Hivi statistically kwenye elections zilizopita CHADEMA ilipata asilimia ngapi Pwani na wilaya zipi ilishinda kwa wingi kati ya hizo hapo juu?
alshabab ni neno la kiarabu linamaanisha vijana .... shukran kwa kuisifia cuf kutokana na ulimbukeni wako... ila you are right about one thing watu wa pwani asilimia kubwa ni waislam ndio maana chadema kamwe haitokuja kufanya juhudi zozote ikubalike since ni chama cha kanisa