CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Nimejaribu kufanya utafiti mdogo,nikagundua kuwa rangi za chadema zinapendwa sana na watu,hivyo napenda chadema watafute kiwanda hata nnje ya nchi.kituzalishie product zenye rangi za chadema,halafu ziuzwe kwa watanzania kama namna ya kuongeza mapato ya chama...napendekeza kuwa bidhaa hizo ziwe na ubora wakutosha kama chama chetu kilivyo bora
tunaweza anzia na
1,kofia
2.tshirt
3.kalam
4.daftar
5,kanga
6.nakazalika
nawasilisha kwa viongozi wa chadema ,ikumbukwe kuwa bithaa hizo zitatusaidia kujitangaza
tunaweza anzia na
1,kofia
2.tshirt
3.kalam
4.daftar
5,kanga
6.nakazalika
nawasilisha kwa viongozi wa chadema ,ikumbukwe kuwa bithaa hizo zitatusaidia kujitangaza