majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
Ndugu katika Bwana sikuoni kama uko sahihi ina maana UZINZI wa SILAA tuelezee UMMA kwamba wanachadema wote ni WAASHERATI
......... Au jinsi dhaifu anavyoenda kuomba msaada kwa Cameroon ambaye anashabikia ushoga, inamaanisha kuwa CCM wote ni 'mabwabwa'?